we mtoa mada,huo uongo unaoutoa ni wa kipumbavu maana mm ni moja kati ya watu niliopita JKT last session,hakuna kitu kama hicho,tulikuwa tunaudumiwa vizuri tu kuliko hata Service.co kitu kizuri kuongea mambo ya uongo kwenye mitandao ya kijamii kama hii,huna uhakika na unachoongea na kama ni...