Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Dogo una matatizo ya kukosa mchujo wa fm2 ..nyinyi watoto! hata kama ni kuinspire kuna lugha convenient na polite ..mind

Sorry bro huenda na we ulisoma HKL na sasa kwa bahati mbaya nikawa nimekugusa.
 
HuYu Jamaaa aliyepresent hii Mada/thread, ni Mbululaaaaaaa kwa asilimia zaidi ya 100. Ni zao la Mulugo.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Heri yako ww zao la Mungai ambapo ulipata kusoma Phys na Chem as a monosubject.
 
JF.
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza 4m4 ktk kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012,
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

hahahahahaa umenichekesha sana duuh JF never bored
:amen:
 
JF.
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza 4m4 ktk kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012,
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
wewe ni mbulula...tena mbulula mkubwa mwenye mtazamo wa kiloooser...tena bado kijana mdogo sana usiejua nin maisha..sasa kwa taarifa yako..maisha sio kuajiriwa tu wewe bwana mdogo na kama wewe sio wakishua hata usome nin utasota mwanzo mwisho mpka Mungu mwenyewe aruhus..katika husles za kuatfuta kazi walio na ahueni ni walimu na madoctor tu..wengine wote huslin iko sawa sawa...kazi ngumu kupata kama hujashikwa mkono na huna kimemo...SOLUTION ni kujiajiri tu...usiniulize mtaji unatoa wapi na ujiajiri katika nin..hayo yatajibiwa na hiyo elimu utakayoipata chuoni or whatsoever...ukichanganya na zako...over...!
 
Kapata vi c vitatu vya Science keshajiona Faraday au Isack Newton, tambua maisha sio sawa na kuchezea Scientific calculator ku find Log,cos na Tan!
 
mkuu hebu tazama hii,mtu wa hkl ataweza soma f,bcom,tele,electronics
mdogo wangu hkl vyuoni wanasoma b.com zote na hata hiyo baf kwa engineering bongo hawasomi îla ukienda nchi ka india unapiga pre univesity kibrush hiyo physics then unapiga chuo swala la marketability bongo ni chances na connections zaidi labda udaktari kuna nafuu.
 
JF.
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza 4m4 ktk kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012,
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

Dogo, cha muhimu mjitahidi kupata the best scores katika combinations zozote mtakazochaguliwa ua kusomea. Pasaka njema.
 
Hapama my bro! Nilichokusudia ni kuwainspire vijana wenzangu kusoma comb ngumu.

Na Pia utambue Coz Ngumu zinaweza Pia kusababisha Elimu Ngumu ..thn matokeo Magumu ..Chuo Kigumu na hatimaye Maisha Magumu. So hamna Combination ngumu wala Rahisi , ila urahisi na ugumu unakuja kutoka na M2 binafsi , kwa kutambua ni nini Malengo yake na nini anaona kitakua suitable kwke Kukisoma .. So habari za kusema Comb fln ni Mbaya , hapo kwakweli umekosea .. Hap 9ty
 
Kapata vi c vitatu vya Science keshajiona Faraday au Isack Newton, tambua maisha sio sawa na kuchezea Scientific calculator ku find Log,cos na Tan!

tatizo vijana hawajui ya mbeleni kuna jamaa yangu alisoma pcb aliwadharau sana wanaosoma hkl mwisho wa siku wote wako TIA wanapiga accounts. Kitu wasichojua ni kuwa wazazi wanastori za kizamani enzi îlipokuwa sifa kijijini kusoma engineering mlimani. Huyu dogo akimaliza six akakosa kwenda mlimani nahisi atalaani sana.
 
JF.
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza 4m4 ktk kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012,
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
Punga.....Nilifikiri umeshaajiriwa kumbe ndo umemaliza form four? Umepata wapi jeuri ya kuwapotosha wenzio?
 
Nina mashaka na uwezo wa kufiri wa huyu dogo...hivi wewe na hao wasomo walioweka hizo comb unazoziita dhaifu, faculty pamoja na vyuo nani ana akili ? Udhaifu wa maisha hauhusiani mtu amesoma comb gani. Kuna watu hawajasoma comb yeyote lakini maisha yao mazuri.

Na hata ukisoma comb unazoziita ngumu huna gerentii ya kutokuwa na maisha dhaifu. Dogo JF umepotea njia rudi facebook ukajipake poda pamoja na wajinga wenzako wenye akili zenye kimo cha mende kama wewe....bullshiiiit!
 
Kijana hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako ila subiri tena naomba Mungu akuonyeshe kuwa unachokiwaza wewe ni kumaliza nguvu ya mwili.......jifunze hili Wauwa wawe wao wauwa wewe wauwawa.....endelea na fikra zako kwani bado una kula nyumbani...Sayonara
 
kua ukomae kiakili. dunia ya watu ni mchanganyiko wa fan inygi nazo zote ni muhimu kwa watu katika misha yao. hata waigizaji vitumbotumbo barabarani n muhimu kwa kuwa kuna watu wanawahitaji nao huishi kwa ajili hiyo. watu wote haawezi kushinda maabara na dunia ikaenda.
 
JF.Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza 4m4 ktk kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012, Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.Ahsanteni....
form four wa mwaka huu mnajulikana tu
 
Back
Top Bottom