Siwashukuru polisi kwa kumtangaza huyo shetani kwamba ni kinara wa vurugu za kidini hapa nchini ila nataka kuanza kuwaelewa kwamba sasa walau wanadalili za kuamka kwa kumwagiwa maji na kupigwa nyundo kwenye magoti...Lakini wamejiuliza yafuatayo kuhusu hawa jamaa wawili?
1.SHEHE BUNGO 2.UST.ILUNGA
Amechochea vurugu ili ponda awekewe dhamana Anahimiza mapadri kuuwawa bila sababu zozote
Amechoma kanisa kwa msahafu kukojolewa Amesababisha mauaji ya viongozi wa kikristo wawili
Amesababisha hofu Dar Es Salaam Wafuasi wake wanaendelea kuwawinda wakristo mpaka sasa
Amechochea wafuasi wa ponda kuvamia kiwanja Anasababifu hofu kwa taifa zima.
Anatafutwa kwakuwa hana makazi maalumu Anaishi Mwanza mtaa wa bugarika nyumba no.157
Lengo ni kuonyesha jinsi gani polisi wasivyokuwa makini na walivo na Double standard kwa wahalifu wa aina moja.
Shehe Ilunga ni mtu anayetokea kijiji kimoja na mke wa rais hivyo wanaukaribu na yeye hutumia ukaribu huu kuamini kwamba hawezi kukamatwa maana anamaslahi na mwenyeji wa Ikulu na ndicho kinachofanyika mpaka sasa kwamba ukilinganisha makosa huyu anayetafutwa Shehe Bungo na huyu Ilunga utagundua kwamba Ilunga in zaidi ya haini kwa mahubiri yake na Kanda nyingi za uchochezi zilizosambaa karibu nchi nzima.Kama wangekuwa wapo huru Ilunga alipaswa kukamatwa mapema sana kabla ya Bungo maana hata anapoishi panafahamika,ni maarufu kuliko Bungo anapatikana kirahisi kuliko...Polisi hamtamaliza uhalifu kwa Kumwacha Huyu Gaidi ambaye ameanzisha Chuo cha Ugaidi pale Ukerewe.