Aisee namba moja Mazingaombwe ndo nilifanyiwa, walichkua Touch ya 200,000/ na Itel ya 50,000 ya button, bag la mgongoni lenye mazaga zaga ndani, Wallet ndan kulikuwa na Pesa Taslimu, vitambulisho. Nikabaki mweupe cna hata mia mfukoni halafu usiku. Namba ya wife nilikuwa kichwan ndo nikaazma cm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.