Hatimaye Nimepata Heka 5 Msolwa

Jojo123

JF-Expert Member
Jan 31, 2013
432
694
Hallo,
Guys kama mmnakumbuka nilikuwa nikitafuta mashamba tangu mwaka jana November hatimaye Week iliyopita nimepata viji heka vitano maeneo ya msolwa ukitoka chalinze kama unaelekea morogoro..

Sasa naombeni wazo kuna hivi vitu natamani kulima pale ila sijajua wataalamu wa hali ya hewa,udongo na Ukanda husika mnishauri kama yana wezekana..
Screenshot_20180118-114133.png
IMG_20180119_113747.jpg
IMG_20180119_113821.jpg
IMG_20180119_113714.jpg

Pia wataalumu naombeni mnishauri kati ya mazao haya ni lipi linafiti maeneo hayo au kama katika haya hakuna zao gani mnalo jua lina uhakika maeneo yale ya Bwawani, Msolwa mpaka Ufipa??
 
Ungeongea na wenyeji wa hapo ungekua bonge la genius na ingependeza zaidi
 
Ungeongea na wenyeji wa hapo ungekua bonge la genius na ingependeza zaidi
Wenyeji wamejizoesha mahindi tu nawana ubunifu yaan vijiji si unajua tena wao vichwan mwao wanawaza alzeti, mahindi na maharage
 
Mungu Anasaidia bro.. Ingawa maisha yangu yote sijawahi Lima na nimekulia mjini ila ndoto yangu ni kuwa na Mashamba yangu binafsi.. Nakipenda kilimo ila ujuzi sina.. Naamini niya yangu na dhamira ni ngao yangu..
Safi sana ila ukipata muda waweza kuwaona SUA utapata ufafanuzi kwa kina zaidi aise.
 
Hallo,
Guys kama mmnakumbuka nilikuwa nikitafuta mashamba tangu mwaka jana November hatimaye Week iliyopita nimepata viji heka vitano maeneo ya msolwa ukitoka chalinze kama unaelekea morogoro..

Sasa naombeni wazo kuna hivi vitu natamani kulima pale ila sijajua wataalamu wa hali ya hewa,udongo na Ukanda husika mnishauri kama yana wezekana..
View attachment 679619View attachment 679620View attachment 679621View attachment 679622
Pia wataalumu naombeni mnishauri kati ya mazao haya ni lipi linafiti maeneo hayo au kama katika haya hakuna zao gani mnalo jua lina uhakika maeneo yale ya Bwawani, Msolwa mpaka Ufipa??
Nakushauli fanya yafuatayo baada ya kupima udongo.
Kama ardhi haijawahi kulimwa basi jua ilikuwa jiji la wadudu.
Kwanza piga dawa kali ya wadudu baada ya kupitisha trekta hasa dawa ya kuua cutworm,
Subili majani yaote kidogo piga dawa ya kuua nyasi.
Kwa nini nimekuambia usubili ni kwa sababu baada ya kupitisha trekta na kupiga insecticide, mbegu za majani ambazo zilianguka ulizipanda kwa kupitisha trekta.

Baada ya kuweka dawa ya kuua nyasi, zikifa, pitisha tena trekta na mara hii piga dawa ya fungicides.

Baada ya hapo utapanda chochote ukiwa na usalama 70% ya mazao yako.
 
Wenyeji wamejizoesha mahindi tu nawana ubunifu yaan vijiji si unajua tena wao vichwan mwao wanawaza alzeti, mahindi na maharage

Okay, unataka kuwa tofauti au vipi! Basi ungewasiliana na wataalam wa kilimo wahuko mkuu. Wangecheki udongo na kukushauri lkn kama ni mahindi yanakubali, basi mazao mengi yanaweza kukubali pia.
 
Nakushauli fanya yafuatayo baada ya kupima udongo.
Kama ardhi haijawahi kulimwa basi jua ilikuwa jiji la wadudu.
Kwanza piga dawa kali ya wadudu baada ya kupitisha trekta hasa dawa ya kuua cutworm,
Subili majani yaote kidogo piga dawa ya kuua nyasi.
Kwa nini nimekuambia usubili ni kwa sababu baada ya kupitisha trekta na kupiga insecticide, mbegu za majani ambazo zilianguka ulizipanda kwa kupitisha trekta.

Baada ya kuweka dawa ya kuua nyasi, zikifa, pitisha tena trekta na mara hii piga dawa ya fungicides.

Baada ya hapo utapanda chochote ukiwa na usalama 70% ya mazao yako.
Thanks bro
 
5eff9d63fe3369941fa97e7d67a4f325.jpg
2a81c3726a5918e0fc4e499acbaddc8e.jpg
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/976e36540640700efc73024fe37c20bf.jpg[/IMG


Hii ndio hali halisi ya mashamba yalivyo ingawa tayari kuna vibarua wana ya fyeka sasa, kutakuwa tambarare soon
 
Wenyeji wamejizoesha mahindi tu nawana ubunifu yaan vijiji si unajua tena wao vichwan mwao wanawaza alzeti, mahindi na maharage
Sio tatizo kwa hao wanakijiji, Ila ww lima hayo mazao kisasa zaidi ili wapate maarifa toka kwako
 
Sio tatizo kwa hao wanakijiji, Ila ww lima hayo mazao kisasa zaidi ili wapate maarifa toka kwako
Sure nataka kuwa mbunifu kidogo ili nahii jamii ibadilike ipate tija kwenye jitahada zao
 
Hivi kitaalamu ukilima heka moja mahindi kwa kufuata kanuni zote mbegu nzuri. Heka itatoa gunia ngap??
Mnavyoongea mi huwa siwaelewi. Unamaanisha acre ambayo kiswahili ni ekari ama hectare (kiswahili ni hekari)?
Btw hekari 1 = ekari 2.47 za ardhi.
Ukilima ardhi nzuri, taratibu zote ukazifuata na mbegu bora unavuna hata gunia 70 za mahindi kwa ekari.
Lakini wengi wanaishia gunia kati ya 20-30 sababu ardhi imechoka na acidic content ni kubwa.
Na wengine anapata 5 tu. Ni uwekezaji
 
Hivi kitaalamu ukilima heka moja mahindi kwa kufuata kanuni zote mbegu nzuri. Heka itatoa gunia ngap??
Hongera sana kwa kuwa na mawazo ya kilimo, ukilima vizuri na ukatunza vizuri ekari moja si pungufu ya gunia 30 za mahindi
 
Back
Top Bottom