Mchawi ni majibu na ukifika mda Wa kupewa majibu kwanza ushauri unaanza unaweza hisi tayari ushaungua,kuna kipindi tuko advance level tukaenda kupima sasa kwenye kupewa majibu sasa ukaanza ushauri Mara huku kuna ngoma sana so vijana tutumie kinga,jamaa mmoja akasema yeye angekutwa na ngoma ndio...
Hawa watu wanakufa bhana, au kuna wahuni walikua wanapika humo na mtungi wa gesi maana wao nao wanajitoa sana akili.
Mungu azilaze mahala pema roho za ndugu zetu waliotangulia
Sio sawa ila ndio hivo Mwenye nguvu mpishe; sisis wenyewe watu wanafurumushwa kwenye maeneo yao, eti unaambiwa hili ni eneo la barabara Mara hii ni sehem ya wazi, mara oooh imekwenda imerudi, mara hifadhi wakati umezaliwa hadi unazeeka eneo hilo hilo ila ndio mwenye nguvu akisema utatoka tu iwe...
Ila mwanzo walisema hawataki marekani iwaingilie then kuhusu hayo mauaji walisema wauaji walihisi ni wapinzani wao katika mabifu yao ya makundi ya magenge ya madawa ya kulevya hasimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.