Habari wana ndugu!
Kati ya vitu vinavonitatiza sana ktk sekta ya elimu ni pamoja na hii suggestion kuwa lugha sahihi ya kufundishia wanafunzi kwanzia primary ni kiswahili. Hebu tujadiliane wana ndugu maana naona kama navurugwa hapa
Uoga wako ndio umasikini wako....binadamu ni kiumbe kinachoweza kuishi kwa matumaini kwa muda mrefu sana ila aonapo mbele giza basi huwa mkatili....katika maisha ukiwa muoga kila cku hutakaa kuthubutu kitu
Ni kweli unachosema mkuu....watu wanashindwa kuelewa kua cku zote ktk kupigania haki lazima kuwe na gharama ili hiyo haki ipatikane....tunasahau hta kua hta yesu ilibdi ateseke na afe ili atambuliwe kua ni mfalme wa wayahudi...hizi kauli za kebehi hazifai kabisa kwasababu hali waliyonayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.