Recent content by originalsuccessor

  1. O

    Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

    Buhahahahahaha nimeipenda hii
  2. O

    Yanayojiri Bungeni leo Tarehe 19 may kikao cha 12 Bunge la bajeti

    Habari wana ndugu! Kati ya vitu vinavonitatiza sana ktk sekta ya elimu ni pamoja na hii suggestion kuwa lugha sahihi ya kufundishia wanafunzi kwanzia primary ni kiswahili. Hebu tujadiliane wana ndugu maana naona kama navurugwa hapa
  3. O

    Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

    Kwa ushauri wako wewe ni njia gani zingine zinafaa??
  4. O

    Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

    Uoga wako ndio umasikini wako....binadamu ni kiumbe kinachoweza kuishi kwa matumaini kwa muda mrefu sana ila aonapo mbele giza basi huwa mkatili....katika maisha ukiwa muoga kila cku hutakaa kuthubutu kitu
  5. O

    Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

    Ni kweli unachosema mkuu....watu wanashindwa kuelewa kua cku zote ktk kupigania haki lazima kuwe na gharama ili hiyo haki ipatikane....tunasahau hta kua hta yesu ilibdi ateseke na afe ili atambuliwe kua ni mfalme wa wayahudi...hizi kauli za kebehi hazifai kabisa kwasababu hali waliyonayo...
  6. O

    Hodi hodi

    Salama wanandugu...me member mpya..pamoja tushirikiane ktk jukwaa mbalimbali za JF. Be blessed.
  7. O

    Ushoga: Wamiliki wa Facebook na Instagram waifungia Uganda!

    Those are some of the sacrifices for ethical proceedings
  8. O

    Obama ampiga rais Mseven mkwara mzito

    Mwenzako akinyolewa zako tia maji cc kikwete
  9. O

    Shamba zuri linauzwa.

    Sawa mkuu umeeleweka
  10. O

    Shamba zuri linauzwa.

    Hiyo ardhi nzuri sana ila nashindwa kuelewa kwanini unaiuza ilihali mabufaa yake yako kedekede?
  11. O

    Tengeneza pesa kupitia intaneti

    Maisha sio mteremko hivo bwana mdogo.
Back
Top Bottom