Aliingia UDSM 2005 akafukuzwa,akarudi 2006 akisimamishwa 2007 baadae akarudi,2008 akasimamishwa mwezi moja,2009 akasimamishwa mwaka mzima wakarudi baada ya kumaliza kesi na kushinda serikali dhidi ya viongozi wa DARUSO,na amemaliza rasmi 2010 yeye na silinde,Machibya nakumbuka hayo machache...