Wana JF
Naomba kujua kwanini katika miaka miwili ya 2010/2011 vyuo vikuu vyote Tanzania vimekuwa kimya,hakuna mijadala ya wanafunzi kudai haki zao,hivi wote kwa sasa wanapata mikopo? wanaridhika na mfumo wa utoaji mikopo ya HESLB? Je,mfumo wa kulazimisha mtu kwenda kusoma chuo asichopenda kupitia TCU kwa njia ya CAS wameridhika nao?
Je,uonevu unaofanywa na vyombo vya dola hasa polisi kwa watanzania hawaoni? ,tulizoea kuona uezo wa kufikiri ukianza UDSM na kusambaa kwenye vyuo vingine,mbona kimya jamani?
Wadau kumetokea nini? UDSM,DUCE,UDOM,MKWAWA,AIA,TIA,IFM,DIT,DMI mmeridhika na hali iliyopo? je,mnajua maana ya kuwa msomi? jamani wanafunzi mtuangusha.
Mwenye sababu ya ukimya wote huu atujuze wadau
Naomba kujua kwanini katika miaka miwili ya 2010/2011 vyuo vikuu vyote Tanzania vimekuwa kimya,hakuna mijadala ya wanafunzi kudai haki zao,hivi wote kwa sasa wanapata mikopo? wanaridhika na mfumo wa utoaji mikopo ya HESLB? Je,mfumo wa kulazimisha mtu kwenda kusoma chuo asichopenda kupitia TCU kwa njia ya CAS wameridhika nao?
Je,uonevu unaofanywa na vyombo vya dola hasa polisi kwa watanzania hawaoni? ,tulizoea kuona uezo wa kufikiri ukianza UDSM na kusambaa kwenye vyuo vingine,mbona kimya jamani?
Wadau kumetokea nini? UDSM,DUCE,UDOM,MKWAWA,AIA,TIA,IFM,DIT,DMI mmeridhika na hali iliyopo? je,mnajua maana ya kuwa msomi? jamani wanafunzi mtuangusha.
Mwenye sababu ya ukimya wote huu atujuze wadau