Taifaletu
Member
- Feb 21, 2011
- 34
- 17
Wana JF juzi nilikuwa kwenye utafiti mkoani Mara nilikuwa nimepangiwa wilaya ya Rorya,Wakati tukiwa kazini nilisikia wananchi wakisema kuwa Mbunge wao yuko likizo ndio maana hasikiki Bungeni,Mbunge wa Rorya kwa sasa ni Lameck Airo,katika pita pita zetu niliwauliza wanajiandaaje kwa uchaguzi wa 2015? sehemu nyingi walisema kuwa kuna kijana mwaka 2010 alikuwa compaign manaja wa Mgombea Ubunge Jimbo la Rorya Kupita CHADEMA aliwaambia kuwa atarudi kugombea Ubunge au Udiwani 2015 anaitwa Stephen Owawa.
Naombeni CV ya huyu jamaa.
Naombeni CV ya huyu jamaa.