Hata mimi nimepatwa na hilo ndugu,risiti ninayo ila wameishusha bei tofauti na nlivyonunua. Wakaniambia tu tunaomba hivyo ili makato kwetu yasiwe makubwa!!!!! Nikashangaa.
Wameandika chasis number, wakaniambia kadi na plate number ni baada ya wiki 2. Hii wiki ya kwanza nimemaliza leo. Lakini hii...
Yohana 8:12 [12]Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Nayaweza Yote Katika Yeye Anitiaye Nguvu.
Kumcha Bwana Ni Chanzo Cha Maarifa.
Hivyo vyote ulivyo navyo na unavyojivunia kuwa navyo ni Kwa Neema Ya Mungu Tu.
Yeye ni Mwenye Upendo Siku Zote. Hata Kama Wewe Haumpendi,
Yeye Anakupenda.
Ungeweza Kujiumba Mwenyewe Hapo ningesema ni Kwa Nguvu...
tayari,kiza cha magharibi kimejiri,
taratibu watu chini ya madari kujisitiri,
hofu inakaza kiburi,
kila wingu la jicho linaposawiri,
mafukara wana furaha na afadhali,
nitafika asubuhi? ndio swali la matajiri.....
big up sana mwanafalsafa,aka MP(Member of Parliament)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.