nyumba ndogo,maana yake mke wa pili,kwa sisi wazee wanakwambia nenda kwa mamako mdogo,ndio nasi vijana tukanzaa kutumia nyumba ndogo,ila zengine kwa misingi ya dini,zinahalishwa,na dini zengine,NO,ndio zinakuwa za wizi,na kujulikana baada ya mtu kufa na amezaa mtoto,anakuja dai haki mahali...