Jamaaniiii eeeeeeeh ulevi nomaaaaaaaaaa

Wamasai wamekuwa malimbukeni kweli na maisha ya mjini duh! Hapo yupo lindo. Kazi kweli kweli.

pamoja na ulevi ni wasjanja angalia alivyolala sio kaama walevi wa dar wanaalala chali injini wazi mwisho wanapasuliwa yai
 
ulevi ni hatari saaaaana hebu muone huyu
lool
 

Attachments

  • ulev nnnnl.jpg
    ulev nnnnl.jpg
    33 KB · Views: 37
Namsifu huyu masai,anaonekana ni mpiganaji wa kweli amekataa katakata kuanguka kifudifudi,ingawa alikuwa ameelemewa na pombe!mwanaume rijari daima uanguka chali !!
 
Back
Top Bottom