Jamani mbona mnaleta thread za jumatatu leo? Hizi semina elekezi hazifai kabisa week end
Wamasai wamekuwa malimbukeni kweli na maisha ya mjini duh! Hapo yupo lindo. Kazi kweli kweli.
Aise,sikujua kama wamasai nao wamo!
nina hamu na sangara........Rose wewe....
Hapana, huyu ni yule aliyelala kilabuni na mbu wakamla kama shamba.Huyu ndio yule jamaa tunayemsikiaga kwenye redio alivyolewa akaingia chumba cha mama mukwe??