Mkojo hauna noma mbona...wengine wanakunywa mikojo yao eti tiba (mshamasahau mama Terry mara hii)! Kama ni mwanangu hapo huyo kuku analika tuu!
Hamna tatizo hata kidogo. After all inakuwa imepikwa. Mbona ma-uncle huwa wananyonya chumvi kwenye nanihii?