Recent content by Omushahija

  1. O

    Sio kila Mhaya ana dharau

    Am proud to be haya, siwez kujifnya mchaga kufa njaa una laki mfukoni, wahaya ni watu makini sana, sikatai kuna wenzetu wanazo sifa kama yalivyo makabila mengine, kwa wale mliosoma UDSM mtakubali hili, nan anamkumbuka prof S. Ngware, yule jamaa zile sifa sijui hata nizielezeje lakini vp VC prof...
  2. O

    Komba, ulijuaje Nyerere atakufa hadi utunge nyimbo za maombolezo yake??

    Mkuu well said, sijui izi nyimbo zinapatikana wapi aisee
  3. O

    Sio kila Mhaya ana dharau

    Unawachukulia hela zao kwa kipi????? Kama mapenzi, mchaga na mapenzi wapi na wapiiii
  4. O

    Crazy things you did in secondary school

    Hii kitu mm pia nlifanya chuo, tofauti mm nlimis test, kwa wale mliosoma dsm mnamkumbka dr Nyirabu wa PS deptment, chezea kumis test bila sababu za msingi
  5. O

    Nchi kumi zinazoongoza kwa teknolojia za kivita

    Mkuu, umejaribu kuifkiria vita ya tanzania vs uganda, tulipoteza askari wengi wasiopungua 400, still hyo hazuii kusema sisi ni washindi, mapambano ya kubadirishana risasi na mabomu sio rahisi yakose hasara mkuu but fkiria pia idadi ya waasi waliouwa na hasara iliyotokea.
  6. O

    Posho ya madaraka kwa walimu

    No research no right to speak, huu waraka upo tangu mwaka jana binafsi kaka yangu ni mkuu wa shule waraka upo tayari unasubiri muda ufike wa utekelezaji
  7. O

    Kesho asubuhi nitampakia kwenye basi arudi kwao na nisimuone tena

    Well said mkuu, kisa hiki kimenikumbusha a year ago, huyu hakutoka mkoa alkuwa ametoka kinondoni mimi niko tabata. Kitambo sana naomba sana mzigo anabana that day, alikuja ili alale kwangu baada ya kunywa savannah nyingi, tumefka geto nkashangaa amelala na nguo, nkahisi harufu ya kitu sio cha...
  8. O

    Mwanza International Airport Kumaliza Utata na Kenya

    Kwani KIA ni arusha, punguza kushabikia
  9. O

    Mwanza International Airport Kumaliza Utata na Kenya

    ,maelezo ya kina yako kiresearch zaidi kuliko kuja hapa na habari za vijiweni na ushabiki mandazi, eti mwanza hapafai kuwa international route kuliko kilimanjaro
  10. O

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Duh, mpaka nimeogopa mafundisho mengine hatari tupuuu
  11. O

    Ubora na bei za tecno smartphones

    Mzee umetisha saaana kula like nyingiiiii, natumia galaxy s3, sio clone bt ukiweka chaji (coz piA ni tatizo) alafu eti ufungue data 3g simu unaweza sema imebaki dakika 3 ilipuke kama nyuklia at the same time nina tecno H6, haaa yaan iko cool mpaka basi itumie uwezavyo, simu haichemki wala...
  12. O

    Ubora na bei za tecno smartphones

    Mzee umetisha saaana kula like nyingiiiii, natumia galaxy s3, sio clone bt ukiweka chaji (coz piA ni tatizo) alafu eti ufungue data 3g simu unaweza sema imebaki dakika 3 ilipuke kama nyuklia at the same time nina tecno H6, haaa yaan iko cool mpaka basi itumie uwezavyo, simu haichemki wala...
  13. O

    Lazima mjue kutofautisha

    Dushelele na mbunye
  14. O

    Baadhi ya walimu wa sekondari ndio wahusika wakubwa katika kutuharibia watoto wetu

    Yaaan kila siku naskia walimu mshahara hautoshi sielewi, nkijuacho mm wafanyakazi kadha wa kadha wa serikali mishahara yao inalingana au kupishana kidogo na walimu wakati mwingine kuwa juu yao especial degree holdrs, kisngizio cha mshahara ikawa ndo kigezo cha walimu kuwagegeda wanafunzi, kutoka...
Back
Top Bottom