Mkuu naomba nitupie huo waraka kwenye PM niusome.
Mkuu me natumia tu kasimu ka mchina hivyo siwezi kukurushia.Kama wewe ni mwalimu njia rahisi ya kuuona ni kufika ofisi ya TSD ama CWT ama ofisi ya Utumishi uliyo karibu nayo watakuonyesha.
Mkuu walipwe kiwango hicho KILA MWEZI kwani siku hizi Walimu nao wamekuwa @wajumbe wa BUNGE la katiba (BMK)? Sahau....hizo ni ndoto za alinacha./ abunuasi ,
mkuu Kashi nakushauri ukimaliza kuota ndoto hiyo uamke na ukaoshe uso na kuangalia katuni ya "Junor Jumbo" hisabatiii...hisabatiiii.hisabati enheee...haeee..hae......hisabatiiiii.
Hili jambo sio la kufurahia. Ni divide and rule. CWT na waalimu wapiganie kila mwalimu apate posho ya kujikimu kila mwezi, hata kama ni elfu 50.
Mbona askari wanapewa wakat mazingira yao ya kazi ni bora zaid? Siri iko kwenye bunduki. Watawala wanawaogopa washika bunduki kuliko washika chaki. Eti washika bunduki wanapewa had msamaha wa pombe ili walewe sana mpaka wasahau wajione na wao ni watawala, hivyo washindwe kutetea wanyonge.
Kudharau kwetu elimu na waalimu ndio kupotea kwetu kama taifa.
Ndo mana mnaitwa walimu ni watu mliofeli.. Wanasambaza habari hizo ili muwasaidie ktk uchaguzi na nyie mlivo mabwege mshaanza kuamini..
Walimu bwana...........
Karibu tuweke kumbukumbu sawa.Mkuu walipwe kiwango hicho KILA MWEZI kwani siku hizi Walimu nao wamekuwa @wajumbe wa BUNGE la katiba (BMK)? Sahau....hizo ni ndoto za alinacha./ abunuasi ,
mkuu Kashi nakushauri ukimaliza kuota ndoto hiyo uamke na ukaoshe uso na kuangalia katuni ya "Junor Jumbo" hisabatiii...hisabatiiii.hisabati enheee...haeee..hae......hisabatiiiii.