Recent content by Omukailee

  1. Omukailee

    Je Umoja wa Mataifa UN ni dhahiri kwamba ni muda muafaka wa kufanyiwa mabadiliko haswa katika baraza lake la usalama.

    Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa dhamana toka uanzishwaji wake 1945...Lakini je Amani ya dunia ambayo ni wazi ipo matatani...
  2. Omukailee

    Series (Special thread)

    Ghost1&2 Power 2014 Fate Blood & water Game of throne
  3. Omukailee

    Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

    Chanjo ndani ya mwaka mmoja jiulizeni tafiti ilichukua mda gani? Mpaka uhakika wa chanjo hiyo,,,,,Maisha ya watu hayawekwi rehani kiasi hicho tafadhal.
  4. Omukailee

    Kuondoka kwa Majeshi ya Marekani Nchi Afghanistan kumewaachia maafa makubwa wananchi

    Wale tunaozisoma siasa za magharibi na mashariki ya kati nyuma ya pazia nadhani hatujiulizi kwanin Marekani karanya hvyo
  5. Omukailee

    Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

    Habari ziwe na vyanzo,, Upofu sio kizembe hivyo
  6. Omukailee

    Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

    Ushauri wako mzuri na umenikumbusha mbaliii! JF itadumu ila members wake hawatodum milele
  7. Omukailee

    Muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi

    Katiba mpya ndio chachu ya Kila kitu apo[emoji1696]
  8. Omukailee

    Manyara: DC mstaafu amshushia kipigo mkewe, nyumba ndogo yatajwa kuwa chanzo

    Jani[emoji263] la kaskazini halijawahi kumwacha mtu salama
  9. Omukailee

    Dkt. Magufuli kwaheri, ulistahili kuwa Rais wa Dunia

    [emoji116][emoji116][emoji116]
  10. Omukailee

    Basi la AN Classic latelekeza abiria eneo la Machimbo Sikonge, abiria wanahitaji msaada

    Wawe wanasogea atawakuta mbele,,wengine watajikuta wamefika tu[emoji41][emoji41]
  11. Omukailee

    Prof. Assad: Sitapiga tena kura labda mfumo uwe wa kidigitali

    Yalifaa kusemwa toka ujana maana hayajaanza leo [emoji753] Shetani akizeeka anakuwa Malaika Kuna siku Maela na Kaijage watasema hivi na tutawashangilia[emoji86]
  12. Omukailee

    Makundi haya mawili yanaweza kumsaliti Rais Samia muda wowote

    Mziki unabaki ule ule tofauti ma DJ tu ndugu[emoji113]
  13. Omukailee

    Nchi za mabeberu wana Ramani zinazoonyesha maliasili ilipo Tanzania na nchi nyingine mbili. Wao wanaamini walitukabidhi tuwatunzie lakini si zetu

    Napitia kitabu cha Robert Kaplan Mansoon- The Indian Ocean and Future of American Power.....nipate msimamo na falsafa ya Mwandishi Kwanza.
Back
Top Bottom