Je Umoja wa Mataifa UN ni dhahiri kwamba ni muda muafaka wa kufanyiwa mabadiliko haswa katika baraza lake la usalama.

Omukailee

Member
Jul 20, 2020
38
30
Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa dhamana toka uanzishwaji wake 1945...Lakini je Amani ya dunia ambayo ni wazi ipo matatani ukichukulia wazi uvamizi wa Urusi kwa Ukraine,, Migogoro ya kisiasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,,Mgogoro wa Tigray huko Ethiopia,, Afghanistan kiujumla na maeneo mengine,,mpaka Hali inakuwa hivyo umoja wa Mataifa uwajibikaji wake ukowapi
Je UN inafanya kazi yake kwa matakwa ya Mataifa ya magharibi hasa yale yenye kura ya turufu
Je UN ni muda wake muafaka wa kufanyiwa mabadiliko maana uliundwa mwaka1945 ambapo kihistoria Mataifa mengi ya Africa na Asia yalikuwa Bado makoloni lakin pia Umoja huu uliundwa na timu ya wachache ambao walikuwa washindi wa vita kuu ya pili ya Dunia (alliance) yaani UK,USA,Ufaransa,, USSR
Katika picha ya wazi Mataifa haya yaliweka Kwanza mbele maslahi yake kwanza kwa kujipatia nguvu na viti vya kudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Je? Katika hayo kweli ni muda wa UN kufanyiwa mabadiliko na kama ikiwezekana kuundwa upya ili kuendana na Hali halisi ya Sasa tofaut kabisa na miaka77 iliyopita¢¢¢ waonaje wew
 
Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa dhamana toka uanzishwaji wake 1945...Lakini je Amani ya dunia ambayo ni wazi ipo matatani ukichukulia wazi uvamizi wa Urusi kwa Ukraine,, Migogoro ya kisiasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,,Mgogoro wa Tigray huko Ethiopia,, Afghanistan kiujumla na maeneo mengine,,mpaka Hali inakuwa hivyo umoja wa Mataifa uwajibikaji wake ukowapi
Je UN inafanya kazi yake kwa matakwa ya Mataifa ya magharibi hasa yale yenye kura ya turufu
Je UN ni muda wake muafaka wa kufanyiwa mabadiliko maana uliundwa mwaka1945 ambapo kihistoria Mataifa mengi ya Africa na Asia yalikuwa Bado makoloni lakin pia Umoja huu uliundwa na timu ya wachache ambao walikuwa washindi wa vita kuu ya pili ya Dunia (alliance) yaani UK,USA,Ufaransa,, USSR
Katika picha ya wazi Mataifa haya yaliweka Kwanza mbele maslahi yake kwanza kwa kujipatia nguvu na viti vya kudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Je? Katika hayo kweli ni muda wa UN kufanyiwa mabadiliko na kama ikiwezekana kuundwa upya ili kuendana na Hali halisi ya Sasa tofaut kabisa na miaka77 iliyopita¢¢¢ waonaje wew
It is toothless mbele ya mataifa ya magharibi
 
Asili ya migogoro ni mbinguni tangu Mungu na shetani wazinguane.

So hawawezi zuia isitokee kabisa labda wasaidie kutafuta suluhu inapojitokeza.
 
Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa dhamana toka uanzishwaji wake 1945...Lakini je Amani ya dunia ambayo ni wazi ipo matatani ukichukulia wazi uvamizi wa Urusi kwa Ukraine,, Migogoro ya kisiasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,,Mgogoro wa Tigray huko Ethiopia,, Afghanistan kiujumla na maeneo mengine,,mpaka Hali inakuwa hivyo umoja wa Mataifa uwajibikaji wake ukowapi
Je UN inafanya kazi yake kwa matakwa ya Mataifa ya magharibi hasa yale yenye kura ya turufu
Je UN ni muda wake muafaka wa kufanyiwa mabadiliko maana uliundwa mwaka1945 ambapo kihistoria Mataifa mengi ya Africa na Asia yalikuwa Bado makoloni lakin pia Umoja huu uliundwa na timu ya wachache ambao walikuwa washindi wa vita kuu ya pili ya Dunia (alliance) yaani UK,USA,Ufaransa,, USSR
Katika picha ya wazi Mataifa haya yaliweka Kwanza mbele maslahi yake kwanza kwa kujipatia nguvu na viti vya kudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Je? Katika hayo kweli ni muda wa UN kufanyiwa mabadiliko na kama ikiwezekana kuundwa upya ili kuendana na Hali halisi ya Sasa tofaut kabisa na miaka77 iliyopita¢¢¢ waonaje wew

UN ipo kwa ajili ya wester countreis
 
Mtihani mkubwa upo katika mfumo utakaotumika katika kufanya maamuzi mbalimbali tofauti na mfumo uliopo hivi sasa wa kura ya veto katika Baraza la Usalama (UNSC).

Hata kama mfumo mpya utafanywa kuwa wa kidemokrasia zaidi kuliko sasa, kwa maana ya upande wenye kura nyingi ndio wenye kuamua matokeo kama ilivyo kwenye Baraza Kuu, bado kuna mataifa yenye nguvu na ushirika wa karibu wa kimaslahi ambayo yanaweza kushawishi maamuzi mengi kuwa upande wao.
 
Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa dhamana toka uanzishwaji wake 1945...Lakini je Amani ya dunia ambayo ni wazi ipo matatani ukichukulia wazi uvamizi wa Urusi kwa Ukraine,, Migogoro ya kisiasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,,Mgogoro wa Tigray huko Ethiopia,, Afghanistan kiujumla na maeneo mengine,,mpaka Hali inakuwa hivyo umoja wa Mataifa uwajibikaji wake ukowapi
Je UN inafanya kazi yake kwa matakwa ya Mataifa ya magharibi hasa yale yenye kura ya turufu
Je UN ni muda wake muafaka wa kufanyiwa mabadiliko maana uliundwa mwaka1945 ambapo kihistoria Mataifa mengi ya Africa na Asia yalikuwa Bado makoloni lakin pia Umoja huu uliundwa na timu ya wachache ambao walikuwa washindi wa vita kuu ya pili ya Dunia (alliance) yaani UK,USA,Ufaransa,, USSR
Katika picha ya wazi Mataifa haya yaliweka Kwanza mbele maslahi yake kwanza kwa kujipatia nguvu na viti vya kudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Je? Katika hayo kweli ni muda wa UN kufanyiwa mabadiliko na kama ikiwezekana kuundwa upya ili kuendana na Hali halisi ya Sasa tofaut kabisa na miaka77 iliyopita¢¢¢ waonaje wew
Hawana kazi hawa kwa kweli wapo wapo tuuu
 
images (62).jpeg
 
Umoja wa mataifa uko chini ya Marekani na chawa wake NATO.

Ni ngumu kuilinda amani ya dunia chini ya wanafiki
Ni nani asiye mnafiki katika dunia hii?

Point ya msingi ni kuwa, UN imetawaliwa zaidi kimaamuzi na mataifa yenye nguvu hasa yale yenye kura ya veto.
 
Ilitakiwa makao yake makuu yasiwe us

Kwa upande wangu nadhani,

Kwa sababu za kihistoria (ulianzishwa na walioshinda Vita ya pili ya dunia),

Sababu za kiuchumi (wachangiaji wakubwa wa bajeti ya UN ni mabeberu)

Kisiasa (mabeberu walishinda Vita baridi) ni bora makao makuu ya UN yabakie huko huko New York
 
Back
Top Bottom