Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Basi la AN Classic toka Tabora -Mbeya limetelekeza abiria toka juzi eneo la Machimbo. Abiria wameishiwa fedha na hakuna msaada mpaka muda huu.
Wamejaribu kumcheki RPC na Mkuu wa Kituo Machimbo lakini hakuna lililofanyika.
Wamejaribu kumcheki RPC na Mkuu wa Kituo Machimbo lakini hakuna lililofanyika.