hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Unachekesha aiseePunguza hasira mkuu
Unachekesha aiseePunguza hasira mkuu
Zilikua Hela zake?Rais wa ajabu angesimamisha chuma kile ubungo
Mwisho umemaliza vzuri sana.Dunia ya kijijini kwenu.
Watanzania tuliongozwa na rais asiye amini katika sayansi wakati ana PhD...
Wewe Bwabwa naona leo umefukuliwa ukapewa na bando la jero.Bibie sante kwa ukumbusho.
Bwana awe nawe
Rais mzarendo kuwahi kutokeaRais wa wezi duniani
Wee kabila gani kwani?Dunia ipi? Ya chato au dunia hihi nayo ijua mmi?
Kila nafsi itaonja mauti ni lazimaHata wewe itafika siku yako utakufa pia,kifo kipo kwa kila kiumbe kilicho hai siku yake itakapofika,
Kifo hakidhihakiwi coz ni mapito ya watu wote.
Kwani amesema ataishi milele?Hata wewe itafika siku yako utakufa pia,kifo kipo kwa kila kiumbe kilicho hai siku yake itakapofika,
Kifo hakidhihakiwi coz ni mapito ya watu wote.
Bila bila,Labda uongeze zingineKwa ufupi qualities za mtendaji na kiongozi ni tofauti..., baadhi ya qualities za a good leader ni zifuatazo, (angalia mwenyewe Magufuli alikuwa nazo ngapi);
- Integrity
- Ability to delegate...
Huyu kichaa hawezi elewa mkuu, ni kumuacha tu na ujinga wakeUjui unachoongea wewe
Uyo unamtetea kaharibu Sana soko la biashara ya mazao kwa ubabe wake usio na kichwa Wala miguu.
-Hivi mkulima wa ufuta, unajua sahivi Ni Bei gani?
-hivi mkulima wa ufuta, Ni lini umepewa ruzuku ya pembejeo?
Alikuwa na uzalendo gani huyo ?!. Mungu ni fundi . Amewakoa waTz kabla ya kukosa hata nguo.Rais mzarendo kuwahi kutokea
Mimi siyo mfuata mkumbo kama wewe
Wapi nimesema yeye amesema ataishi milele?Kwani amesema ataishi milele?
Magufuli alimpiku Nyerere kimtindo
Shut up!!Magufuli alimpiku Nyerere kimtindo
Unalipwa Tsh ngapi kwa kumsifia JIWE?Hayati Magufuli alikuwa mzalendo na anayejua nini maana ya uongozi Magufuli alitamani watanzania woote tuwe wazalendo na ndiyo maana hakutaka kuongeza mishahara ili fedha zitumike kujenga nchi...