Hapa hadanganyiki mtu,kwa mbinu zozote zile zitakazobuniwa na ccm ili 2015 isomeke hivyo kuwa tuna vita na Malawi kwa sababu ya Lake Nyasa,ili waendelee kuwa madarakani.
Katika sura ya pili ya katiba tunayoipigia chapuo kwa mabadiliko yake inaelekeza kuwa Nchi inapokuwa na vita dhidi ya adui na...
Sorry,kwenye jamvi hili tunahitaji matajiri wa mawazo na sio masikini wa mawazo kama uliyonayo
Je hizi TV zetu nazo zina-copy na paste kama unavyodhani na ***** wako.
Je fedha za makarani wa sensa nani anawadhulumu watanzania maskini CDM au CCM?
Tafakari kabla hujatoa masaburi yako hapa.
kumbukeni Mwl Nyerere alimwona JK wakati ule kuwa alikuwa baado
na sasa hivi tangu JK amekuwa rais ameonyesha kuwa alikuwa baado hafai kuwatumikia watanzania kama ni suala la umri.
kwa nini suala la umri lijadiliwe na JK wakati tunaandaa KATIBA itakayotupa picha ya kuwa
na Rais bora wa Taifa...
Nakupigia salute Jenerali
wanajamvi tuwe makini kuzitafakali articles za Jenerali na sio kukurupuka tu.
nimerudia na kurudia kuisoma hakuna mahala Jenerali amemfananisha PM kama mbwa wa pavlov
nina mashaka na kiwango cha elimu yako na hasa ktk eneo la ufahamu.
Kuna uchungu wa kujadili...
"kazi ni kwako" (Wtz)
tuliambiwa kuchagua mwanga lakini wengi wetu tukachagua giza.
poleni Tz kwa ujumla wake.
ile mipango iliyopewa kipaumbele na bunge letu la(ccm) ze comedy linajadili nini sasa
au posho tu wao waje kununulia magenerator wakati wao wa cdm wanazikataa kutokana na taabu...
ccm ni mpinzani kwa cdm hivyo yeye kama anao ushaihidi juu ya mafisadi waliopocdm
basi autoe maake wananchi ndio majaji wetu Bw. Kibunango (Kinango).
jina la Kinango katika vitabu vya kiada alikuwa ni mtu juha asiyetambua anachokiona au nusa n.k
hapa mheshimia sitta umeongea point na vilevile ume-loose points kwa upande mwingine.
kwenye point ni pale unapowambia ccm hasa wale viongozi ambao mh.waziri mkuu mstaafu amewaita viongozi maslahi,
ambao wengi wao ni ktk ile sombasomba ya makamba ambao ukiwasikiliza kauli zao ni kimakambamakamba...
picha iliyopo kwa kila aliyeahidiwa baada ya kile ninachokiita kutupa kura yako kwa ccm wakati wa uchaguzi 2010,kwa rais na wapiga kura wake wa-tz hakina tofauti na wale wanaodaiana,mdaiwa unakuwa ktk hali mbaya unalutana na mdai wako unazeeka ghafla,maake ulikopa kwa kutumia misamiati na maneno...
sio lazima hiyo miaka 5 iishe alivyochoka yeye basi ajue wale aliotuahidi kwa ahadi
zake nyingi ndio tuko hoi bin taabani,tutamsamehe hata kesho akijiuzulu tu.
aachie wengine wajaribu kubebea msalaba kuanzia hapo.
wa jf sio jambo geni kuona chadema imeshinda hapo mza,ni ucheweshaji na mizengwe tu ndio iliyokuwa
ikifanywa na ccm lakini Mungu wetu anayependa amani amedhihilishia hilo.
hata huko arusha hali itakuwa hiyohiyo pamoja na wa tz kufa kwa ajili ya haki yao,
NATOA POLE KWA JAMAA NA NDUGU...
mie ni muumini sana wa ndoto na hasa ninapowasoma watumishi wengi katika vitabu vya dini.
sasa kama sio ndoto za shibe hasa wakati huu wa sikukuu mfururizo basi upo sahihi 100% kwenye
suala la Mheshimiwa Dr.Slaa kuwa Rais tena kwani hata awamu hii yeye ndiye alikuwa Rais ila
UGHIBAGHIBO ndio...
mwaka wa akina mama kuchukua sehemu kuu
waziri mkuu anaweza akawa hat vick kamata dada yangu
jk alisema serikali yake wengi watakuwa vijana kwendana na slogan yake ya kujenga
uchumi
tatizo lako nawengineo kama wewe mlio katika kundi la mawazo mgando
mnafikili Dr.Slaa aligombea kwa kutaka maslahi binafsi.
ni kiongozi gani kati ya wailogombea aliyeahidi kula mihogo ili wewe uondokane na mawazo mgando
ambaye huamini kuwa bila ccm utabadilishwa kimawazo na kimaendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.