Mkuu, niko na swali/jambo.
Mara nyingi sana huota ndoto ambazo mwisho wa siku hutokea kweli, hii hali niko nayo muda mrefu sasa, though sometimes nazipuuzia labda huenda nashindwa kuzitafsiri
Suali langu.
-Inakuaje nakuwa na hali hii/nini chanzo?
-Kivipi naweza kufaidika na hali hii?
-Pia kwa...
Kwanza natanguliza shukrani za dhati kwa msaada niliopata humu baada ya kuleta uzi wangu.
My thanks go to Chief Mkwawa and other JF members.
Leo niko na shida nyingine. Nili-search uzi wa ku-download MICROSOFT OFFICE 2013 and fortunately nikaupata, kupitia link ikiyoweka niliweza...
Mkuu niko na suali.
Siku moja nilinunua suruali kwa jamaa mmoja Karume, sasa kitendo cha mimi kununua ile suruali jamaa akaanza kusema "Aisee umenitolea lock, una mkono mzuri sana, na siku nikikutana nawe sitokusahau" kifupi alionekana kufurahi.
Sasa kinachonitatiza;
-Kwa nini aniambie...
Habari zenu wapendwa.
Natumai nyote mu wazima wa afya.
Members wenzangu nimekuja kwenu kwa kutaka msaada juu ya vitu viwili.
MOSI; Kuna member alieleza jinsi ya ku-download videos bure tthrough YOUTUBE hususani nyakati za usiku (Night offer)) kwa kutumia mtandao wa TIGO, alisema waweza tumia...
Be blessed Mkuu.
Umeelezea vizuri sana, watu wengi hukurupuka sana katika kuielewa Quran.
Na ndio maana mtu hawezi ku-qualify kutafsiri Quran mpaka.
-Afahamu sababu ya kushuka aya (Contextuality)
-Awe mahiri katika lugha ya kiarabu
-Awe na ufahamu juu ya hadithi za Mtume a.s ambazo kuna baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.