Ndugu zanguni kama kuna mtu anafahamiana vizuri na waziri a Elimu anisaidie kumuuliza hili.
Swali; Je, sheria inaanza kufanya kazi wakati gani?
Ni kweli ametangaza kuwafuta wanafunzi waliojiunga na vyuo vikuu bila kuwa na sifa, hili sina pingamizi.
Pili ameahidi kuchunguza vyeti vya...
Da umenikumbusha mbali...nilianza kwa mtoto wa mwalimu ..usiku alinisindikiza nashangaa tukaingia kwenye migomba hadi chini...nakumbuka skuingiza lakini nilikojoa ...daaa nilijiskia dume...nilikua form 1 miaka ya 2000 hivi
Labda ni mimi ama staki kumtaja huyo mtu...
Alifanyaga hivyo hivyo lakini baadae walioana tena kwa ndoa takatifu...
Baada ya kupata mtoto yule mwanaume alienda masomoni na yule mama ni mwalimu..si akaanza kuchepuka..kila anachokifanya yule mwanaume anaona kwa hisia na watu pia wanamwambia..cha...
Wanawake wengi wanafikia menopouse mapema ..sasa anapokua amefikia wakati wanasema life of a man start at 40..
Maana yake mwanaume anaanza kuonekana dume wa ukweli akiwa na miaka 40..
Na ndio anaanza na majukumu ya kudumu...
Wakati huo uke wa huyo mwanamke imeanza kubadilika...hadi epithelial...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.