Recent content by Okalla

  1. O

    Kikomo umri wa kuomba ajira Serikalini

    Wanaposema asizidi miaka 45 Wana maana aweze kutumikia Serikali at least 180 months ili a- qualify kulipwa pensheni. Kinyume na hapo labda ajiriwe kama temporary servant na sio permanent and pensionable
  2. O

    Kwanini Watu wa Kaskazini ni Weupee pee halaf wa kusini ni Weusi tii? In Tanzania

    A Ahsante brother, unaonekana namna gani watu in blind kuhusu asili ya watanzania
  3. O

    Kwanini Watu wa Kaskazini ni Weupee pee halaf wa kusini ni Weusi tii? In Tanzania

    kuna sababu kuu mbili ambazo zinafanya watu wa kaskazini mashariki waonekane weupe na kusini magharibi waonekane weusi. 1; ASILI Hii ndiyo sababu kuu ambayo inatofautisha muonekano wa watu ndani ya Tanzania. kaskazini mashariki /kaskazini wengi wao sio wabantu mfano mchaga sio mbatu, Wairaq...
  4. O

    Kwanini Watu wa Kaskazini ni Weupee pee halaf wa kusini ni Weusi tii? In Tanzania

    Unadangaanya umma , sugu sio mnyakyusa bali ni mkinga kutoka Makete
  5. O

    Je, wajua kikatiba, CAG ana hadhi ya Jaji Mkuu?. Je, wajua ripoti ya CAG ni Zaidi ya Bill?. Je, wajua kwenye ripoti ya GAG, CAG ni zaidi ya Rais ?

    Mimi sio mwanasheria ila naona kama taarifa hii imekuwa overrated na mleta Uzi, CAG hawezi kuwa juu ya Raid , ukiachana na ulazima was Raid kupeleka ripoti Bungeni bado Rais ana mamlaka hata ya kumuondoa CAG endapo mkaguzi akishindwa kufanya baadhi ya mambo. Kuna utaratibu maalum / mchakato wa...
  6. O

    Wakati watumishi wa Kisarawe walio ajiriwa kuanzia mwaka 2012 hawajawahi kupanda madaraja lakini Mbeya Jiji wamepanda wote hadi wa mwaka 2013.

    Inasemekana hadi watumishi walioajiriwa 2014 wako mbioni kupanda maana barua zao tayari zishaandaliwa. Tunataka kufahamu siri inayofanya Mbeya jiji wapande haraka wakati kuna baadhi ya halmashauri hawajapanda tangu 2012.
  7. O

    Wizara ya Elimu na Mh.Raisi Jpm hili mmeribariki au tunaibiwa?

    Hapo mnaigwa mkuu, hakuna utartibu kama huo uliopangwa na serikali. Halmashauri ya Rungwe wana mambo ya ajabu ajabu kweli aisee. Kuanzia kwa wakuu wa Idara wengi wao wamekaa kirushwa rushwa tu. Hata hilo lazima kuna mtu nyuma ya pazia.
  8. O

    Biashara ya viazi mviringo

    Kwa biashara ya kiazi lakini nane haitoshi, hicho ndicho kinacho mshangaza huyo jamaa. Viazi mviringo ni biashara nzuri ila kinahitaji mtaji uwe mkubwa kidogo
  9. O

    Mkulima wa viazi mviringo ambavyo viko tayar kwa kuuzwa

    Kama utapenda kuja mbeya pm tuwasiliane mkuu
  10. O

    Mkulima wa viazi mviringo ambavyo viko tayar kwa kuuzwa

    Kama hutojali, Sogea Mbeya kuna viazi vingi , vya aina mbalimbali, utanunua kiazi unachokitaka na kinachohitajika sokoni. Maana kuna aina za viazi zaidi ya 30.
  11. O

    Uchumi wa jimbo moja la MAREKANI Ni MKUBWA kuliko GDP za nchi kama SAUDI ARABIA, RUSSIA, UK. Marekani itadumu kuwa Superpower?

    Hizo ni states zilizoungana na ndizo zinazoleta uimara wa uchumi wa Marekani. Mtoa post yuko sawa kabisa
  12. O

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Mie nimeenda ijumaa ya tar 13 april 2018 , barua bado hazijafika , Songea !!
  13. O

    Ongeza ufaulu wa somo la history kwenye shule/centre yako

    unatafuta jina Waweza pata ila una uelewa wa kawaida
  14. O

    TAMISEMI yatoa majina mapya ya uhamisho Februari 2018

    Acha ukosoaji usiokuwa na mantiki, kwani kuandika hivyo kuna shida gani?. Hujaelewa ama vipi? Kibaya zaidi hata wewe umeandika utumbo
  15. O

    Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    huwezi iweka igawilo ukaiacha sangu kwa shule za mbeya, basi umesimuliwa
Back
Top Bottom