swahili state
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 261
- 146
Dhumuni kubwa la uzi huu ni kuuelezea umma kuwa Mimi ni miongoni mwa walimu bora mwenye mchango mkubwa kwa wanafunzi wasomao somo la history. Nimewasaidia wengi na matokeo yao yalikuwa makubwa sana mana nina fundisha kwa kutumia kanuni niliyoibuni iitwayo TQE( sitoweka wazi tafsiri yake kwa sasa).
Nimeweza kubadili matokeo katika shule na vituo nilivyowahi kuzunguka hapa nchini pia najiona kama dhahabu iliyofunikwa na tope zito mana nina uwezo mkubwa ila cha kusikitisha sina jina kubwa wala sifahamiki kama baadhi ya walimu wengine.
Nimewahi kuwafundisha wanafunzi kutoka katika shule kubwa na wakakiri uwezo wangu ni tofauti na walimu wao wa history kwenye mashule yao.
Kwa sasa ni mwalimu wa kujitegemea ambaye ninafundisha masomo ya ziada kwa watu wazima na wasio na muda wa kutosha wa kujiunga na vituo mbali mbali. Pia napatikana Dar-es-salaam japo ninakuwa na ratiba za kuzunguka kwenye vituo vya mikoani.
Maneno mengi hayajengi ghorofa ila kama unahitaji kupata mbinu(TQE) za kufaulisha kwenye shule yako au kituo chako, usisite kunitafuta na sitotanguliza maslahi mbele mana nitaomba unipatie wiki moja tu nifundishe vipindi kwenye madarasa mbali mbali bila malipo yoyote baada ya hapo tutapanga kila kitu kutokana na mwitikio wa wanafunzi.
Ukinihitaji unaweza ukani pm kisha tutawasiliana Zaidi na ntakuja kukuonesha vitendo si maneno tena.
Naamini wapo walimu wengi ambao wanambinu kubwa za kufundisha ila hawatambuliki wameishia kukaa majumbani bila ajira huku mashule yakiwa na walimu ambao wapo sawa au wamezidiwa mbinu kiasi Fulani na hao waliopo majumbani.
Ntawaaga kwa zawadi ya swali la o-level na advance ambayo nililetewa siku ya jana na wanafunzi wangu.
1. Why uneven scramble for the world in the 19th century?(O-level)
2. "States in pre-colonial Africa were imposed by super natural powers". Refute this fallacy by giving six facts.( A-level/history one).
Nikipata wasaa nitasolve maswali ya history ndani ya huu uzi, ukinihitaji utani PM, karibuni.
Nimeweza kubadili matokeo katika shule na vituo nilivyowahi kuzunguka hapa nchini pia najiona kama dhahabu iliyofunikwa na tope zito mana nina uwezo mkubwa ila cha kusikitisha sina jina kubwa wala sifahamiki kama baadhi ya walimu wengine.
Nimewahi kuwafundisha wanafunzi kutoka katika shule kubwa na wakakiri uwezo wangu ni tofauti na walimu wao wa history kwenye mashule yao.
Kwa sasa ni mwalimu wa kujitegemea ambaye ninafundisha masomo ya ziada kwa watu wazima na wasio na muda wa kutosha wa kujiunga na vituo mbali mbali. Pia napatikana Dar-es-salaam japo ninakuwa na ratiba za kuzunguka kwenye vituo vya mikoani.
Maneno mengi hayajengi ghorofa ila kama unahitaji kupata mbinu(TQE) za kufaulisha kwenye shule yako au kituo chako, usisite kunitafuta na sitotanguliza maslahi mbele mana nitaomba unipatie wiki moja tu nifundishe vipindi kwenye madarasa mbali mbali bila malipo yoyote baada ya hapo tutapanga kila kitu kutokana na mwitikio wa wanafunzi.
Ukinihitaji unaweza ukani pm kisha tutawasiliana Zaidi na ntakuja kukuonesha vitendo si maneno tena.
Naamini wapo walimu wengi ambao wanambinu kubwa za kufundisha ila hawatambuliki wameishia kukaa majumbani bila ajira huku mashule yakiwa na walimu ambao wapo sawa au wamezidiwa mbinu kiasi Fulani na hao waliopo majumbani.
Ntawaaga kwa zawadi ya swali la o-level na advance ambayo nililetewa siku ya jana na wanafunzi wangu.
1. Why uneven scramble for the world in the 19th century?(O-level)
2. "States in pre-colonial Africa were imposed by super natural powers". Refute this fallacy by giving six facts.( A-level/history one).
Nikipata wasaa nitasolve maswali ya history ndani ya huu uzi, ukinihitaji utani PM, karibuni.