Recent content by OHB11

  1. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran will prioritise vessels that pay in the Strait of Hormuz “Given the limitation on the number of vessels that will be allowed to pass, Iran has decided to give priority to those vessels that respond more quickly to the new Strait of Hormuz protocols and pay the costs of security and safety...
  2. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    US to send ‘thousands of additional troops’ to Middle East The US is sending thousands of additional troops into the Middle East in the coming days, according to a report by The Washington Post, which cited unnamed US officials. Aljazeera Sasa ipo wazi Netanyahu akiitumia marekani hataki...
  3. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump yuko kwenye wakati mgumu sana pengine kushinda marais wengi waliomtangulia Na mayahudi probably walijua kumuingiza chaka wakati huu kwa kua hakuna nafasi ya ku back down kwa US bila madhara makubwa Kumaliza vita bila objectives walizojiwekea kukamilika ni sawa na kushindwa na kukubali...
  4. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Here we go again Trump says US to blockade ships crossing Strait of Hormuz. Al Jazeera Hizi taarifa plus taarifa za Trump kuitishia China kuhusu kuwaongezea ADs na silaha nyingine Iran.... Hii vita ni zaidi ya Nuclear program ya Iran
  5. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    There's a pattern in Trump's administration with zionist calling most of the shots kwenye majambo ya geopolitics Its trajectory constitutes preparation rather than being arbitrary. This is a critical time to be alarmed.
  6. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hawa wamejipanga na wako na marale ya hali ya juu kama viongozi hawana uoga wa kifo kwa kulinda maslahi na heshima ya raia zao, nchi yao na mfumo wao wa maisha, raia kwanini waogope zaidi ya kutoa full support Hii yote ni kwasababu Trump amekua pulled along na Netanyahu kwenye hii vita...
  7. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani kuamini kwake katika lugha ya vitisho na ubabe kunafanya hii vita ku-escalate zaidi kwasababu Iranians hawaamini katika hiyo lugha kwa kuwa wako na pride na pia wako kwenye haki Kiundani zaidi hii ni vita sio tu dhidi ya Iran bali China pia, US akifanikiwa kudhibiti mlango wa Hormuz...
  8. OHB11

    JamiiForums Tanzania Tungeanza kufanya slums upgrade maeneo ya uswazi Tanzania

    Kabisa mkuu Mbaya zaidi wanaamini ni haki yao kuharibu mazingira Mfano mzuri ni hizi barabara zinazofanyiwa ukarabati hapa Dar es salaam ziko safi na wameweka paving vizuri kwa ajili ya watembea kwa miguu Naamini baada ya muda machinga wataanza kupanga meza na kuona ni sehemu sahihi ya kufanya...
  9. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Evangelical religious fanatics are idiots. Wapuuzwe They have nothing significant to offer here other than the river of ignorance they always spew.
  10. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mayahudi mpango wao ni kusababisha full chaos hapo ME, They want the gulf states to fully participate in this war, to fight each other, which would significantly give her the window she needs to widen her territory and military might. And these Middle Eastern fools who are sitting on the thrones...
  11. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump and US army kupiga Kharg island is a very serious move for escalation and more likely desperate one. Hii vita inaelekea kubaya sana Let's wait for the next move.
  12. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump administration is filled with fools and clowns
  13. OHB11

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nilikua nasubiri Hijack season 2 ikamilike nianze kupata burudani, ila naona ngoja niisubirishe kwanza kwakua burudani ninayoitarajia haipo kwa mujibu wa maoni ya wadau😄
  14. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii Administration ya Trump kwenye hii vita imekua kama genge la wahuni, US Defense Secretary Pete Hegseth said that Iran was hoping that “we can’t sustain this”, adding that this was a mistaken assessment on the part of Tehran.
  15. OHB11

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita tunaweza kuwa nayo kwa muda mrefu pengine zaidi ya inavyofikirika. Seems like the Iranians prepared for this, and more likely things aren't as anticipated by the west😄
Back
Top Bottom