Iran will prioritise vessels that pay in the Strait of Hormuz
“Given the limitation on the number of vessels that will be allowed to pass, Iran has decided to give priority to those vessels that respond more quickly to the new Strait of Hormuz protocols and pay the costs of security and safety...
US to send ‘thousands of additional troops’ to Middle East
The US is sending thousands of additional troops into the Middle East in the coming days, according to a report by The Washington Post, which cited unnamed US officials.
Aljazeera
Sasa ipo wazi Netanyahu akiitumia marekani hataki...
Trump yuko kwenye wakati mgumu sana pengine kushinda marais wengi waliomtangulia
Na mayahudi probably walijua kumuingiza chaka wakati huu kwa kua hakuna nafasi ya ku back down kwa US bila madhara makubwa
Kumaliza vita bila objectives walizojiwekea kukamilika ni sawa na kushindwa na kukubali...
Here we go again
Trump says US to blockade ships crossing Strait of Hormuz.
Al Jazeera
Hizi taarifa plus taarifa za Trump kuitishia China kuhusu kuwaongezea ADs na silaha nyingine Iran....
Hii vita ni zaidi ya Nuclear program ya Iran
There's a pattern in Trump's administration with zionist calling most of the shots kwenye majambo ya geopolitics
Its trajectory constitutes preparation rather than being arbitrary.
This is a critical time to be alarmed.
Hawa wamejipanga na wako na marale ya hali ya juu kama viongozi hawana uoga wa kifo kwa kulinda maslahi na heshima ya raia zao, nchi yao na mfumo wao wa maisha, raia kwanini waogope zaidi ya kutoa full support
Hii yote ni kwasababu Trump amekua pulled along na Netanyahu kwenye hii vita...
Marekani kuamini kwake katika lugha ya vitisho na ubabe kunafanya hii vita ku-escalate zaidi kwasababu Iranians hawaamini katika hiyo lugha kwa kuwa wako na pride na pia wako kwenye haki
Kiundani zaidi hii ni vita sio tu dhidi ya Iran bali China pia, US akifanikiwa kudhibiti mlango wa Hormuz...
Kabisa mkuu
Mbaya zaidi wanaamini ni haki yao kuharibu mazingira
Mfano mzuri ni hizi barabara zinazofanyiwa ukarabati hapa Dar es salaam ziko safi na wameweka paving vizuri kwa ajili ya watembea kwa miguu
Naamini baada ya muda machinga wataanza kupanga meza na kuona ni sehemu sahihi ya kufanya...
Mayahudi mpango wao ni kusababisha full chaos hapo ME,
They want the gulf states to fully participate in this war, to fight each other, which would significantly give her the window she needs to widen her territory and military might.
And these Middle Eastern fools who are sitting on the thrones...
Trump and US army kupiga Kharg island is a very serious move for escalation and more likely desperate one.
Hii vita inaelekea kubaya sana
Let's wait for the next move.
Nilikua nasubiri Hijack season 2 ikamilike nianze kupata burudani, ila naona ngoja niisubirishe kwanza kwakua burudani ninayoitarajia haipo kwa mujibu wa maoni ya wadau😄
Hii Administration ya Trump kwenye hii vita imekua kama genge la wahuni,
US Defense Secretary Pete Hegseth said that Iran was hoping that “we can’t sustain this”, adding that this was a mistaken assessment on the part of Tehran.
Hii vita tunaweza kuwa nayo kwa muda mrefu pengine zaidi ya inavyofikirika.
Seems like the Iranians prepared for this, and more likely things aren't as anticipated by the west😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.