Recent content by OHB11

  1. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Evangelical religious fanatics are idiots. Wapuuzwe They have nothing significant to offer here other than the river of ignorance they always spew.
  2. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mayahudi mpango wao ni kusababisha full chaos hapo ME, They want the gulf states to fully participate in this war, to fight each other, that would significantly give her the window she needs to widen his territory and military mighty. And these middle eastern fools who are sitting on the throne...
  3. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump and US army kupiga Kharg island is a very serious move for escalation and more likely desperate one. Hii vita inaelekea kubaya sana Let's wait for the next move.
  4. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump administration is filled with fools and clowns
  5. OHB11

    Series (Special thread)

    Nilikua nasubiri Hijack season 2 ikamilike nianze kupata burudani, ila naona ngoja niisubirishe kwanza kwakua burudani ninayoitarajia haipo kwa mujibu wa maoni ya wadau😄
  6. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii Administration ya Trump kwenye hii vita imekua kama genge la wahuni, US Defense Secretary Pete Hegseth said that Iran was hoping that “we can’t sustain this”, adding that this was a mistaken assessment on the part of Tehran.
  7. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita tunaweza kuwa nayo kwa muda mrefu pengine zaidi ya inavyofikirika. Seems like the Iranians prepared for this, and more likely things aren't as anticipated by the west😄
  8. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    French evacuation plane turns around amid missile threat The Air France plane was supposed to pick up citizens stranded in the United Arab Emirates.
  9. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump asks IRGC commanders, Iranian diplomats to step down The US president has called on Iranian diplomats at embassies around the world to defect and seek asylum. Huyu mzee naona amechanganyikiwa sasa 😂😂
  10. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huu uzi umeshavamiwa na mbumbumbu mtu anaropoka tu Pete hegseth wala Netanyahu wala yeyote mwenye mamlaka kwa wale waliofanya hilo shambulio la kuua watoto wadogo hawajasema kwamba kulikua na kambi kwenye hiyo shule wala ku hint kitu kama hicho Ila mlokole kutoka bongo anakwambia kulikua na...
  11. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    😂😂😂 Rubio analialia Mayahudi wamemlazimisha Trump kushambulia Iran na kila mtu anajua hivyo Kazi kubwa kubadili huo mtazamo kwa sasa
  12. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    😂😂😂 Huyu mzee aisee Sasahivi anatoa mipasho kwa UK na Spain Anasema hawana msaada wala kutoa ushirikiano
  13. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hivi kuna mtu anamuamini na kumuelewa huyu mzee Trump? Maana maneno yake ni kama yupo ndotoni😂
  14. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump yupo live hapa Anadai Iran ingewashambulia kwanza hivyo akaona awawahi 😄😄
  15. OHB11

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii nimeikuta Aljazeera kuna chief alikua anabisha hapa kwamba Trump hakuomba ceasefire hahah
Back
Top Bottom