China... Uvamizi wa marekani kwa NK anasema utagusa maslai yake, hapa pagumu. Mchina ameingia vita nyingi vya korea ikiwemo ile aliyoingia wakati Korea kashindwa. Ili kuokoa na wakashinda.
Mi nadhani kwa mori walioonesha marekani pengne hiyo submarine ndo imemfanya mmarekani asishambulie Korea hadi Leo hiii na Atake kukaa mezani kwa kumtumia uchina kusettle situation. Sikudhani kama hadi leo ingefika marekani hajaivamia Korea.
Korea kwa upande wake nadhan kaacha majaribio yake...
Na he wakishapatikan wote itakuwa mwisho was swala hili.... Tumeshuhudia op kama hizi lakin still mauaji yanaendelea. Mi nadhan was I guess ila wstafute tatizo
Kuna kipindi cha uangalizi kisichopungua mwaka katika ajira ndo unathibitishwa. Pia elimu zote ni changamani hivyo inaaminika ujuzi uliopata katika kipind chore chart elimu yako kinatosha kukufanya use mwepesi katika mafunzo mafupi ya utaalam
Dah! We labda ulisoma St flan... Sisi wa shule za kijiji kawaida sana. Ila kabla hujaangalia matokeo ya kitu tazama chanzo. Pengine ungepata kitu kizuri zaidi cha kuanza nacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.