Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Kwani ayo makorena wangetutangazia kwa dakika mia yangetusaidia nn
Mama Jesca hawezi kuwa hivyo. Ana hekima sana yule mama. Mungu ambarikiMleta mada inawezekana ni mama Jesica.
Watu mmechafukwa hahaWe mpumbav.u nini,ebo?kwahiyo wewe dhahabu ni bora kuliko uhai wa mtanzania??shenzi mkubwa wewe,haya nenda kwa bwana ako DB akakusumie huko nyuma mamina wewe.
Habari za uvamiziTatizo habari ya kuibiwa Mali zetu hazina ukweli yaani ni kama fiction tu imetengenezwa kwahiyo waliona ni bora kutangaza habari yenye uhalisia. By the way hukusoma gazeti la Uhuru waliripoti kama kipaumbele habari ya Mkuu kuvamia bandarini na kukamata magari na dhahabu.
Mkuu fungua macho kumekucha hayo mambo unayoyataka AZAM MEDIA wafanye ndio yamesababisha mzozo huko CLOUDS MEDIA au umetumwa na Albert? AZAM ni chombo huru hawapangiwi habari ya kurusha hewani hatakama huyo prezidaa atumie kichwa kumove badala ya miguu AZAM wanayo maamuzi warushe ama washitiJana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.
Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.
Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Inategemea unatafsiri hipi juu ya "dhahabu". Nchi yako ni ya thamani sana as nikasema wewe una thamani ya " gold". Sasa kuiacha nchi yako na thamani yake iliyonayo ichezewe ni sawa na kutokujua umuhimu wa kitu unakiita "nchi yangu" ijapo kwingine wako radhi kuzilinda nchi zao hata kwa gharama ya damu. Na ndo maana nimekwambia ilivyo dhahabu ndo heshima na thamani ya nchi yako, sasa kama huwezi kulifikilia hilo kwa mapana hutaelewa pia wajibu wako kwa nchi yako iwe leo ama kesho. Haijalishi yupo nani (hai) leo na nani kaondoka, nchi itabaki na thamani yake itabaki pale pale. Kama unabisha nenda kwenye nchi za watu halafu ukaingie kienyeji ndo utajua kwenu wapi. Walikufa wangapi, ni wapi ukasikia Tz ilikufa nayo? Mwl. Nyerere yuko wapi, Mzee Kawawa yuko wapi? A. Jumbe yuko wapi? Hata wewe kesho hutakuwepo ila watabaki wengine na tunataka hata wanaozaliwa leo nao waje waikute Tz na waiheshimu pia kwasababu ni nchi ya mababu zao.Maisha ya mtu mmoja ni ya thamani kuliko makontena zaidi ya 200 ya dhahabu. Mh. Rais anapaswa kujua hilo. Lakini pia mnatakiwa kuelewa kwamba kiongozi ndiye dira ya jamii anayoiongoza, ukiona wafuasi wako wameanza kutokukufuatlia ni wajibu wako kujitathmini kwanza.
Hayo hayo. Si wapeleke alikopeleka DAB ile clip.Yani unazungumzia yale maigizo ya bandari?!!
Haa Haa Haa Haa Haa mkuu umenivunja mbavuWe mpumbav.u nini,ebo?kwahiyo wewe dhahabu ni bora kuliko uhai wa mtanzania??shenzi mkubwa wewe,haya nenda kwa bwana ako DB akakusumie huko nyuma mamina wewe.
Mpendwa nakurushia Halotel pesa japo ukapate Maji ya Dafu.Kituo chao wenyewe wamewekeza kwa hela zao wenyewe!! wewe ni nani mpaka uwapangie? Wao ndiyo wanajua habari gani iwe ya kwanza na ipi iwe ya pili, umeumia sana fungua kituo chako muonyeshe sizonje asubuhi hadi jioni!!!
hata mchambuzi wa masuala fulani flani wawe(AZAM TV) wanachagua mtu neutral, ndio atakayesema ukweli. kuna wachambuzi hawaonagi positive about Govt though hawana chama.Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.
Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.
Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.