Sio Tumbo moja atakuwa ni ndugu Kwenye ukoo, sister zake wamebaki wawili baada ya mkubwa Monica kufariki. Mama domina na Asteria.walikuwaga wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa ni nini,ndo hoja ya msingi?mana wanatimiza wajibu wao kuhudhuria vikao vya bunge kama katiba ya nchi inavyowataka,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vitu kama huu ungonjwa utafumu kwa miezi 4 zaidi kutoka sasa ,unadhani nchi za kiafrika ikiwemo Kenya itaendelea kufungia watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.