Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,727
- 7,652
Ameshambonji akiamka atakujibu. Ila ni kuanzia kg 80 na kuendelea.Dr. Hapa ume assume mgonjwa ana uzito gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshambonji akiamka atakujibu. Ila ni kuanzia kg 80 na kuendelea.Dr. Hapa ume assume mgonjwa ana uzito gani?
Yaani kidonge kimoja mkuu tu kwa wiki mbili huku ukiacha kula vyakula gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ondoa mbegu za limao kwani zinaongeza uchungu, kata limao vipande vipande, tangawizi kiasi cha kidole gumba, weka kwenye blender sanga na maganda yake. Ongeza maji ya moto glass 2. Kunywa ikiwa ya moto mara 2 kwa kutwa.Mkuu limao na tangawiz nichanganye? Je limao nisage na ujani ukiwiti wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na ushauri wa kitabibu hapo juu:
Naweza kukuambia jambo moja na utakubaliana nami: you are a little overweight, right?
Basi ukitaka kuondokana na gout for good punguza uzito wako..
Nakupa dawa hii