Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,024
- 1,094,264
Kamwe sijawahi kupingana na takwimu za ummy tatizo wewe unapelekeshwa na hawa wanaopingana na huyu waziri wetu mpaka huelewi ushike lipi uache lipi
kama umemskliza waziri wako wa afya leo, na kama una uwezo wa kudadavua mambo, basi nitakushangaa ukiandika hicho ulichokiandika hapo.