FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,191
Kama heading inavyosomeka, Katikati ya jiji la Dubai shangwe na furaha ya kuondolewa lockdown ya Corona jijini hapo.
Wenye ndugu, jamaa na marafiki huko, tulipowasiliana nao, baadhi yao wakasema, "it's obvious" kiongozi wao hapo kafata nyayo za Rais Magufuli kuondoa lockdown.
Ukitazama uhusiano wa kidiplomasia na kihistoria uliopo baina ya Tanzania na UAE, hususan Dubai, kiongozi wa Dubai kufata nyayo za Magufuli si la kushangaza. Kuna uwezekano huwa anapata habari za kwetu mara kwa mara kwani ana watu wa karibu yake kabisa katika ukumbi wake ambao wana asili za Tanzania kwa namna moja au nyingine.
Hongera Dubai, Hongera Magufuli...
Wenye ndugu, jamaa na marafiki huko, tulipowasiliana nao, baadhi yao wakasema, "it's obvious" kiongozi wao hapo kafata nyayo za Rais Magufuli kuondoa lockdown.
Ukitazama uhusiano wa kidiplomasia na kihistoria uliopo baina ya Tanzania na UAE, hususan Dubai, kiongozi wa Dubai kufata nyayo za Magufuli si la kushangaza. Kuna uwezekano huwa anapata habari za kwetu mara kwa mara kwani ana watu wa karibu yake kabisa katika ukumbi wake ambao wana asili za Tanzania kwa namna moja au nyingine.
Hongera Dubai, Hongera Magufuli...