My county
Member
- Aug 6, 2016
- 22
- 60
ZITTO AGALAGAZWA NA MAWAKILI WA SERIKALI MAHAKAMANI LEO
Yah: Shauri la kikatiba kati Zitto Zuberi Kabwe Dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, AG, CAG na Profesa Assad kuhusu kutomwongezea muda Profesa Assad kuwa CAG.
Baada ya majibizano ya kihoja kati ya Mawakili wa serikali wakiongozwa na Gabriel Malata Naibu Wakili Mkuu wa Serikali dhidi ya wakili wa Zitto aliyekuwa akiungwa Mkono na mawakili wa Profesa Assad, baada ya kuelemewa kihoja na Mawakili wa Serikali Bw. Zitto Zuberi Kabwe ameondoa shauri mahakamani au kuweka mpira kwapani
Habari ya leo tarehe 23/4/2020.
Hapa kazi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah: Shauri la kikatiba kati Zitto Zuberi Kabwe Dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, AG, CAG na Profesa Assad kuhusu kutomwongezea muda Profesa Assad kuwa CAG.
Baada ya majibizano ya kihoja kati ya Mawakili wa serikali wakiongozwa na Gabriel Malata Naibu Wakili Mkuu wa Serikali dhidi ya wakili wa Zitto aliyekuwa akiungwa Mkono na mawakili wa Profesa Assad, baada ya kuelemewa kihoja na Mawakili wa Serikali Bw. Zitto Zuberi Kabwe ameondoa shauri mahakamani au kuweka mpira kwapani
Habari ya leo tarehe 23/4/2020.
Hapa kazi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app