Pitia hizi sheria
1.companies act
2.company insolvency rules
3.trustee incoporation act
4.trade and service marks act
5.busines name registration act
6.busines licensing act
7.patent registration act
8.industrial design
9.companies forms
halafu soma na ONLINE BUSINESS REGISTRATION
Angalia cutt off points za kuingia Degree ya sheria SAUT na cutt off points za kuingia LAW UDSM!
kuhusu kufaulu LAW SCHOOL UDSM wanafanya vizuri kuliko SAUT, usiangalie idadi ya MAWAKILI unaokutana nao mitaani SAUT kina wanafunzi wengi Sana aisee unaweza ukakuta pale LAW SCHOOL darasa la watu...
Mkuu Nimeperuzi sheria ya mawakili, Tanganyika law society act, sijaona kifungu kinachoruhusu hizo exemption,hebu tupe kifungu cha sheria na jina la hiyo sheria inayoruhusu exemption
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.