Recent content by ODILI SAMALU

  1. O

    Wadada ninaowakubali humu JF Sky Eclat, Demiss, Manengelo, Victorie, Mzigua, Cariha

    Mimi binafsi namkubali sana ASHA D, Katoto kazuri,
  2. O

    Terminal ya Clouds FM wanapiga kampeni michango ya Harusi.

    Unakuta mtu una kadi 5 kila moja 100,000/- jumla 500,000/-!
  3. O

    Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

    Kumbe BRELA mishahara yao ni Kama ya halmashauri japo BRELA ni Semi autonomous executive agency
  4. O

    Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

    Pitia hizi sheria 1.companies act 2.company insolvency rules 3.trustee incoporation act 4.trade and service marks act 5.busines name registration act 6.busines licensing act 7.patent registration act 8.industrial design 9.companies forms halafu soma na ONLINE BUSINESS REGISTRATION
  5. O

    Madereva ni much know sana

    Watu wengine wanaojua mambo mengi ni WAANDISHI WA HABARI, MAWAKILI (eg lissu anajiita mjuaji),
  6. O

    Mada Maalum Kwa Wanaopenda Mabaamedi

    Ukifanya hivyo mnaweza mkazinguana mkifika gesti!
  7. O

    Mada Maalum Kwa Wanaopenda Mabaamedi

    Hivi hao hawanaga bei elekezi?
  8. O

    Nahitaji mume mwema!

    Mimi mzaramo! Nishakosa sifa
  9. O

    Mwanaume uliye tayari kumpata mchumba njoo usome hapa

    Kama huna mzigo aka chura usiweke masharti meengiii!
  10. O

    Sehemu ya Uchambuzi wetu Bajeti VIDEO

    Mhe Zitto, video ziko wapi?
  11. O

    Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

    Umemaliza kila kitu Mkuu! Engineer wa halmashauri ni TGS E 900s, wakati MD ni zaidi ya 1.4M, MD analipwa Mara 2 ya afisa maendeleo ya jamii wa degree
  12. O

    Machache kuhusu vyuo vya SAUT na UDSM

    Angalia cutt off points za kuingia Degree ya sheria SAUT na cutt off points za kuingia LAW UDSM! kuhusu kufaulu LAW SCHOOL UDSM wanafanya vizuri kuliko SAUT, usiangalie idadi ya MAWAKILI unaokutana nao mitaani SAUT kina wanafunzi wengi Sana aisee unaweza ukakuta pale LAW SCHOOL darasa la watu...
  13. O

    Usahihi wa Uwakili wa Profesa Kabudi na muktadha wa alichokizungumza Bungeni

    Mkuu Nimeperuzi sheria ya mawakili, Tanganyika law society act, sijaona kifungu kinachoruhusu hizo exemption,hebu tupe kifungu cha sheria na jina la hiyo sheria inayoruhusu exemption
Back
Top Bottom