christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,180
- 5,102
Hili limekaa vipi mkuu maana kwa level ya primary na sekondary shule binasfsi zinakimbiza hasa hizi za seminary, sasa kwa level ya chuo wanakwama wapi? mpka waanze kufanya vibaya dhidi ya vyuo vya serikali hasa kwa chuo kama SAUT kinachomilikiwa na haohao Waseminary maaskofu wa kanisa katoliki.Wewe na naibu waziri mtakuwa mmesomea huko huko SAUT. Tuache kubishana bure, leta hapa University rank in Afrika 2017 na 2018 ili kuthibitisha ubora wa SAUT dhidi ya UDSM. Mpaka sasa, hakuna chuo binafsi Tanzania kinachoweza kushindanishwa na vyuo vya Umma.
