iko wapi?😂Video Zenye ufafanuzi
Nunua kifurushiSisi wa Freebasics unatusaidiaje....
Kifurushi kwa ajili ya hiyo video tu?Nunua kifurushi
Kwani we unatakaje?Kifurushi kwa ajili ya hiyo video tu?
Nataka kuiona kupitia freebasicsKwani we unatakaje?
Hapa tunaumia wanaume huo ndiyo ukweliBrother Zitto Kwenye pedi sijui mmetumia kigezo gani kuipinga serikali.
Kwenye kikao cha wafanyabiashara rais alisema walishusha kodi lakini madukani bei ikabaki ileile, sasa kama wamerudisha kodi kwa kua punguzo la kodi halikuwanufaisha walengwa kuna ubaya gani?
Kwenye suala la nywele bandia hapa ndo mmechemka ila mtapata sapoti kwa kua wanawake ni wengi.
Nywele bandia zinasababisha madhara kama mifuko ya plastic.
Mmejitahidi kuchambua kiasi flani.
Brother Zitto Kwenye pedi sijui mmetumia kigezo gani kuipinga serikali.
Kwenye kikao cha wafanyabiashara rais alisema walishusha kodi lakini madukani bei ikabaki ileile, sasa kama wamerudisha kodi kwa kua punguzo la kodi halikuwanufaisha walengwa kuna ubaya gani?
Kwenye suala la nywele bandia hapa ndo mmechemka ila mtapata sapoti kwa kua wanawake ni wengi.
Nywele bandia zinasababisha madhara kama mifuko ya plastic.
Mmejitahidi kuchambua kiasi flani.
Mkuu Zitto weka video aisee !Videos zitapanda