Recent content by obelisk

  1. obelisk

    PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

    Tena Huyu Ex Mayor wa Ubungo, Jacob ilitakiwa apewe sifa na pongezi zote maana yeye ndo aliliibua kwenye Mitandao ya Kijamii! Vinginevyo lingepigwa kimya kimya na mtuhumiwa angekuwa bado yupo kazini akiendelea kula kodi zetu. [emoji2955]Nyambafu sana huyu mjinga mjinga mbakaji!
  2. obelisk

    CLOUD SEEDING: Mafuriko yanayoikumba Saudi Arabia ni matokeo ya kujaribu kushindana na asili

    Nakubaliana na Wewe Mkuu! Bado nakumbuka lile tetemeko la ardhi lililoikumba nchi ya Uturuki mwaka jana. Walisema inaweza kuwa ni "Effect of Geo-Engineering".
  3. obelisk

    Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

    Hapa, umeongea! Hii 'point' ni nzuri sana ! [emoji120][emoji1666][emoji2936]
  4. obelisk

    Bwawa la Mwalimu Nyerere lafikia MITA 185 ujazo, lajaa mpaka kikomo

    Kuna mamba Mkuu, ooohhh shauri yako.
  5. obelisk

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Mkuu umepotea sana. Tunasubiri. Endeleza ulipoishia.
  6. obelisk

    Russia itaanza Airpatrool milima ya golani na mpaka mwa Syria na Israel

    Hayo ni mahaba niue Mkuu kwa wapambe wa USA na Israel! Putin ni level nyingine yule.
  7. obelisk

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Cafe Latino Bar - Opposite Mlimani City. Omax Bar - Keko Magurumbasi. Kings Palace - Keko Magurumbasi. Hapa kwa misosi ilikuwa balaa!
  8. obelisk

    Lema asema tuwaache Wamarekani wawepe watoto chakula, asema yeye haoni shida

    Marekani hawawezi kutoa msaada kwa Somalia. Wakikumbuka kipigo walichokipata miaka ile ya mwanzo ya 1990, hawana hamu nao kabisa!
  9. obelisk

    HAITI "Mountain Country"

    Wanakula nyama za watu 🥱 Hii ni hatari sasa.
  10. obelisk

    Dark days 17/03/20...

    [emoji2][emoji2]
  11. obelisk

    Dark days 17/03/20...

    [emoji16]
  12. obelisk

    Dark days 17/03/20...

    Sasa, kwa namna hii, watu si wataogopa kwenda kutibiwa hapo?
Back
Top Bottom