Recent content by obelisk

  1. obelisk

    Ninaishi na maumivu

    Pole sana sana Evelyn Salt 😭
  2. obelisk

    Kati ya NIT na MUST niende wapi?

    Nenda MUST, ni nzuri sana, pia nakushauri usome ELECTRO MECHANICAL ENGINEERING. Itakusaidia baadaye.
  3. obelisk

    Seth Mwabe akamatwa kwa kosa la kudukua mfumo wa kampuni ya kubashiri (betting)

    Dogo kaupiga mwingi sana. Mwishoni kaenda kukosea kidogo tu! Huyu ni hazina kubwa kwa serikali ya Kenya. Wamuendeleze kisha atakuja kuwaletea manufaa makubwa sana baadaye. Nashauri wasimfunge kwa makosa haya aliyoyafanya!
  4. obelisk

    Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Ngoja kwanza tuone. Ila mimi ni team Sudan, wanangu kabisa. Si kwa vile ni kobazi, lakini Mpira wanaujua kwa Kweli 😁
  5. obelisk

    Mke wangu kaja na style mpya ya kukulana

    Ila JF ya sasa, imechangamka sana kwa mambo haya ya kudinyana. Wakulungwa mmekuaje siku hizi? Wapi mzazi wangu Atoto? 😔
  6. obelisk

    Umeshawahi kujiuliza Msichana wenu wa kazi 'wa Miaka hiyo' yuko wapi?

    Evelyn Salt, baada ya kuwa mkubwa mkubwa kidogo, aaargh, nilikuwa napasha pasha nao kidogo. Wao ndio walinifundisha mautunduz 😋 Mara ooh, gusisha hapa 🤣
  7. obelisk

    Unarudi Toka Kazini Unamkuta Mkeo anampiga Mama yako Mzazi.Je utafanya kitu gani kwa mkeo?

    Bahati mbaya Mama alishatangulia mbele ya hakhi, zamani sana - 2000. Vinginevyo siulizi chochote, angejitambua / alishavuta, akiwa Hospitali.
  8. obelisk

    Umaskini unadhalilisha, jamaa anamuingilia kinyume na maumbile mke wake na mama anamzuia mtoto wake kuachana nae kisa jamaa ana hela

    Mkuu, hapo ukute mama mtu ndiyo michezo yake, kwahiyo anamshanga binti anashindwaje 😔. Inasikitisha sana kwa kweli. Imagine sisi wanaume, ukute ni binti yako anafanyiwa hayo mambo? Naondoka na shingo ya huyu bastered 😡
  9. obelisk

    Nawezaje kutoka kwa mwanadada huyu

    Wewe dogo achakutuletea utani katika mambo ya msingi ya kifamilia. Huyo ni mwanamke wa kuoa kabisa. Umri siyo hoja. Weka ndani huyo mwalimu na utakuja kinishukuru baadaye.
  10. obelisk

    Wachezaji ambao ukiwataja lazma utamke majina yao mawili

    Gianluca Zambrotta
  11. obelisk

    Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Independence Cha Cha Cha. Le Grand Kallè ndio muasisi wa Modern Congolese Music
  12. obelisk

    Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Le Grand Kallè (sio Pepe Kallè) ndio mkubwa wao wote.
Back
Top Bottom