Tena Huyu Ex Mayor wa Ubungo, Jacob ilitakiwa apewe sifa na pongezi zote maana yeye ndo aliliibua kwenye Mitandao ya Kijamii!
Vinginevyo lingepigwa kimya kimya na mtuhumiwa angekuwa bado yupo kazini akiendelea kula kodi zetu. [emoji2955]Nyambafu sana huyu mjinga mjinga mbakaji!
Nakubaliana na Wewe Mkuu! Bado nakumbuka lile tetemeko la ardhi lililoikumba nchi ya Uturuki mwaka jana. Walisema inaweza kuwa ni "Effect of Geo-Engineering".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.