Kwenye sehemu wanaposhinda zungusha nyaya kwajuu. Kama unaweza pata utumbo wa kanda za mziki ukizungusha hapo kipanga au ndege yoyote akija ni ama atakwama kutua au wakati wa kuondoka atatatizika sana hadi umkamate.
Acha udwanzi we jamaa. Kama ni mtu wa kujituma hivyo kwamba kila anachoambiwa kufanya yeye hufanya mara mbili! Kwa nini shuleni alipotakiwa kupata angalau hamsini. Asingekuwa anapata hata sabini tu?
Chama cha Chadema! Mtoa mada hauko serious kha! & by the way kuondokewa na katibu mkuu ni issue kiasi hicho? Vyama vinaondokewa na wakubwa kuliko hao na kwa idadi ya kutosha na bado vinasonga mbele. Chama ni institution! Chama siyo mtu. Kuhusu mwenyekiti kukaa muda mrefu, sioni tatizo as long as...
Mahojiano halafu unamuweka mtu rumande! & there after unamchukua vipimo! Be serious my friend. Usisaidie hata pale ambapo makosa yako wazi. Mdogo mdogo unadumaza upeo wako wa kuchenjua mambo kwa kupenda kuliko pitiliza. What we say ni kwamba pamoja na nia njema ya mheshimiwa.lakini kama binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.