Hata wenyewe wanaohakiki hawajui wanachofanya.Ni lini viongozi wa kitaifa kama RCs, DCs na Mawaziri watahakikiwa vyeti vyao vya kidato cha nne, kama walipitia mfumo wa sekondari?
A day a mosquito lands on your testacle is a day you will realize that the violence is not a solution of the problem...."ukitaka kujua kuwa sio kila tatizo humalizwa kwa matumizi ya nguvu ni pale mbu atakabotua kwenye korodani".
..."ukitaka kujua kuwa sio kila tatizo humalizwa kwa matumizi ya nguvu ni pale mbu atakabotua kwenye korodani".
Pamoja
Tatizo mbeba maono wa kuhakiki vyeti amesahau au kazi zimemzidia, hao walioachiwa hawajui kwa nini wanahakiki vyeti, kwa hiyo ni meli iliyokwenda kwa kasi baadae manahodha hawajui wanapokwenda au wanapotoka.Ni lini viongozi wa kitaifa kama RCs, DCs na Mawaziri watahakikiwa vyeti vyao vya kidato cha nne, kama walipitia mfumo wa sekondari?
GudPamoja
..."ukitaka kujua kuwa sio kila tatizo humalizwa kwa matumizi ya nguvu ni pale mbu atakabotua kwenye korodani".
Uhakiki. Thubutu. Uhakiki. Hawagusi tena huko. Wewe hujiulizi why Mama Angel yupo kimya! Wameshikwa pabaya! Walikuwa wanaonea wanyonge. Kama jipu limeotea ktk ulimi. Hakuna kula. Hakuna kunywa. Hakuna kuongea. Hakuna kunyonya.Umenistua nikadhani tunahakikiwa tena maana nimeshachoka! kila mara uhakiki hakuna nyongeza hakuna nini wala nini, nimechoka mie na uhakiki sio siri