Gari lolote linahitaji umakini gari ni gari hata iwe Bedford mbaula inaua scania inaua so tuwe tuu makin kuna gari za kawaida tuu zinakimbia kuliko hizo mfano chukulia pickup double cabin aina ya nissan hard body high spic au vox wagen amarock
Mkuu wewe endelea kukaa hapo home uanze ujenzi kwenye kiwanja chako mpaka utakapohamia ukipanga garam a itakuwa kubwa yapo mahitaji yatakoyo jitokeza zaidi....ukishahama chonde chonde chonde chonde usisahau baba mama na wadogo zako chonde chonde mkkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.