Mkuu kwa comment zako unaonekana roho inakuuma na usitudanganye una guts za kumuacha huyo dem. ndio unapata experience lakin usijali. Wengine tulishawahi hadi kulipa kodi ya upande na akawa anaingiza wengine ndani. Hawa watu ni wa kuwaangalia tu na kuwaacha kama walivyo
Namasteeeeeeeeeeeeeeeeee.......!!. Huyo ndio Lara moko. Demu flan hv wa mjini mno nusu wa kishua nusu uswazi ile ile yani. fighter sn wa maisha na ukiwa nae ni zaidi ya Joti kwa vituko. Me lov ths lady bana.
Mkuu Rogie maadili namaanisha alikuwa akijifanya kuwa na mwenendo mzuri, ibada sana, adabu nyingi si mzururaji na wanaume ndio huwez fikiri kama anao. Awali nilibisha sana kuwa hiyo ni tabia ya mtu lakini nikaja kugundua hata kabila pia coz hata dada zake nilivyokuja kwafahamu nao ni walele tu
yameshanikuta kwa kutaka kuoa mtoto wa kirangi. Mrembo full maadili swala 5 lakn wapiii..jasiri haachi asili. Nilivyokuja kujua nilimshushia hasira za kijita hadi leo tukikutana hamna salamu. niliambiwa nikabisha ila nikaja kujionea mwenyewe.
Nina rafiki yangu hadi kaharibu siti za mbele kwa huo mchezo. Ila ni raha sana kwenye gari. Mi nkijinunuliaga mtoto wangu pale ambiance natafuta mtaa uliotulia nachuja nafaka zangu vizuuuuri.
Duuuhh...ulimvyimsifia, kama nakuona ulivyochora makopakopa akilini mwako. Afu eti tukushauri..tukushari nn wakati ushamega hebu toka hapa. una wife na mchepuko nyumba moja sipati kikija kunuka..!
Hahahaaa..eti maisha yalivaa bukta. Lara1 ua so funy mamy. But kuhonga kwa mwanaume ni lazima ila isiwe too much ukasahau kufanya ya msingi. Pia cost sharing ni muhim kwa mwanamke anayejielewa.
Tatizo gani hilo la mumeo lililowashinda maaskofu na mahakimu. Alitaka 0713 nn..just kiding. Hapo dd kuwa makin mana pretenders ni wengi. Utapiga hesabu za yupi awe mume mwenzio anapiga hesabu agegede asepe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.