Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Daaah akiwa broke ass dude hana chake right? lara 1... haaa haaa unakula vyako.....
 
Last edited by a moderator:
Simba Mkali acha ukali wako bwana elfu hamsini inakutoa roho
Tatizo siyo shilingi 50,000 bali nadhani hapo tatizo ni jinsi alivyomuomba hiyo pesa, hilo ndilo shida... ukisoma mada utaona kama jamaa alitaka kuingia mkenge baada ya kuona px kwenye mitandao ya kijamii... Wanaume hawapendi kudanganywa miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Unmarried woman is a public property! usiumize ubongo wako kumfikiria.
 
Hao wa kabila ilo wanajua kufanya ugaidi.Atakuteka kiakili kwa kutumia kauli safi atajifanya ni mtu sioteemezi... mweke ndani sasa ndio utajua mpalestina sio mtu.full kujilipua na maujeri,kiburi,majivuno,na mapenzi ziro
 
Huyu nyapu amenipigia simu akaniambia mbona niko kimyaaa, eti yeye yuko Moshi miye nimekaa kimyaa wala simtafuti... unajua nilitaka kucheka, nikamwambia kuwa sina la kumzungumza naye ndiyo maana nimenyamaza kimya.... basi akajifanya kukasirika eti nitakapoamua kumpigia simu nimpigie pale nitakapokuwa na la kuzungumza naye... (shenzi taipu).... kuna jamaa anataka kuchukua mzigo huu jumla mwezi wa 10! nadhani ataingia mkenge. Sina mpango wa kumpigia simu maana nadhani tumeachana juu kwa juu... anataka kunifanya ----... sijawahi kushindwa kumpa fedha hata siku moja.... kwanini anidanganye? ------- zake atafute mafara wenzake... pamoja na uzuri wake SIMTAKI TENA...
 
Hapo ndipo mnapokosea kuamini hitaji kubwa la mwanamke ni pesa
Huyu nyapu amenipigia simu akaniambia mbona niko kimyaaa, eti yeye yuko Moshi miye nimekaa kimyaa wala simtafuti... unajua nilitaka kucheka, nikamwambia kuwa sina la kumzungumza naye ndiyo maana nimenyamaza kimya.... basi akajifanya kukasirika eti nitakapoamua kumpigia simu nimpigie pale nitakapokuwa na la kuzungumza naye... (shenzi taipu).... kuna jamaa anataka kuchukua mzigo huu jumla mwezi wa 10! nadhani ataingia mkenge. Sina mpango wa kumpigia simu maana nadhani tumeachana juu kwa juu... anataka kunifanya ----... sijawahi kushindwa kumpa fedha hata siku moja.... kwanini anidanganye? ------- zake atafute mafara wenzake... pamoja na uzuri wake SIMTAKI TENA...
 
Hapo ndipo mnapokosea kuamini hitaji kubwa la mwanamke ni pesa
Jalawat huyu mwanamke anataka nimtumie nauli ili arudi Dar kutoka Moshi wakati najua yuko Dar siyo kwa kuambiwa bali kwa kumuona kwa macho yangu kama hataki fedha na kuniona ---- anataka nn?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwa comment zako unaonekana roho inakuuma na usitudanganye una guts za kumuacha huyo dem. ndio unapata experience lakin usijali. Wengine tulishawahi hadi kulipa kodi ya upande na akawa anaingiza wengine ndani. Hawa watu ni wa kuwaangalia tu na kuwaacha kama walivyo
 
Mkuu kwa comment zako unaonekana roho inakuuma na usitudanganye una guts za kumuacha huyo dem. ndio unapata experience lakin usijali. Wengine tulishawahi hadi kulipa kodi ya upande na akawa anaingiza wengine ndani. Hawa watu ni wa kuwaangalia tu na kuwaacha kama walivyo
Mkuu Nyamkabejr nini nirudiane na huyu mly, hapana, unajua nakumbuka mengi sana. siku ya kwanza kuduu naye alichukua kondomu yangu ya Rough Rider, sijui hata aliipeleka wapi. Halafu kuna siku aliniambia amepata ajari ya pikipiki, nikaenda hadi hospitali aliyodai kulazwa, sikumkuta, nikampigia simu hakupokea, nilipokutana naye eti alikuwa amefunga bandeji mguuni... nikamuuliza ilikuwaje akaumauma maneno, nikajua ni fix zake tu, sasa kisa hiki kimenifanya nijua ujinga wake, kwa kweli simtaki tena ila nilikuwa naleta feedback tu.
 
Last edited by a moderator:
Nauli ya kwenda Moshi mpaka unalalamika, wenzako wananunua mpaka magari halafu siku nyingine wanakuta vijana wa chuo wanashughulikia kipolo ambacho mdosi huwa anaacha na yeye hana wassiwasi kwa vile na yeye wamewaachia majanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom