Recent content by nyambuta manyembe

  1. N

    Nauliza CCM ni nani

    eheeeee CCm bwana wajanja kweli, kwanza walianza kumtumia Zito, CHADEMA kikawa HOI, hALAFU WAKAMTUMIA LOWASA UKAWA CHALIIII, sasa kwa ulaini kabisa watachukua nchi hata wakimteua nani upinzani chaliiiiiiiiiiii.
  2. N

    Ni chakula gani ulikuwa hukipendi ulipokuwa mtoto?

    nilikuwa sipendi mboga za majani na ugali, hasa bamia hadi leo sipendi
  3. N

    Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

    tafuta miti yenye matunda marefuu nawe utapata mtindi wa nguvu. hao wadudu walikuwa wanakaa kando ya nyumbo zisizo na sakafu kwa sasa utawapata wapi watu wanasakafia nyumba zao? labda wende kijijini :A S wink::A S wink:
  4. N

    Top five hii hapa

    we naeeeee,,,, siye tunatafakari uchaguzi we na visimu vyako hiyo hela ya ya hizo simu unayo au sifatuuu. fyuuuuuu.:blah::blah::angry::angry::angry:
  5. N

    Madam Rita wa Bongo Star Search

    itaonyeshwa star TV soon we angalia TV tu. utaona maTANGAZO:shock::shock::poa:bump2::blah::decision::A S crown-2::rant::phone:
  6. N

    Baadhi ya wanawake wamezidi kuvaa nguo fupi mwezi huu mtukufu

    we akili yako imekaa kingono tu. mbona chakula uongelei, au ukiona msosi nao unatamani? pole wee funga yako inahuuuuu.
  7. N

    Kuimarika kwa shilingi imenikera sana!

    :A S wink::yawn: :yawn: :llama:safi sana ishuke tu mpaka 1500/= kwa dola 1
  8. N

    Kwanini siku mpya huanza usiku na si pale jua linapochomoza?

    waulize wakristu...., wakristu mko wapi swali lenu hilo..
  9. N

    Bahati bukuku na utajiri wa kutisha

    anahusikaje tena hapa kwa mutu wa Mungu, acheni ving'amuzi feki.
  10. N

    Kwanini wadada wengine mnapenda kulazimisha mambo?

    ulishidwa nini kumridhisha kama unajiaminna si teambamia?
  11. N

    Wakaguzi wa ISO lazima wawe Wakenya?

    we umeshasema ISO hilo si kampuni la Tanzania, Wakala anaweza kuwa Tanzania lakini wafanyakazi kutoka nchi yeyote. Ingekuwa TBS ningekuelewa.
  12. N

    Vinyago/midoli vina roho

    Mi nakataa haiwezekani mudoli umeunua halafu ubadilike. :sad:ya kweli hayo:sad: :A S-rap::A S 100:
Back
Top Bottom