Yaaani huyu mzee wa kigogo ameishiwa sera na akalime ubuyu hasomi upepo unapovuma sasa kwa taarifa yake asijifananishe na Mh Lowasa hata chembe kama yeye alipigwa chini kipindi cha mkutano mkuu wakati wa kugombea nafasi ya urais ni yeye tu. Mh Lowassa ni makini Mungu ampe maisha marefu hakika...
hiyo tume ya ajira ni wahuni tu uliona wapi kazi inatangazwa then interview inachukua miezi hata 4 dadi 6? nchi hii inahitaji marekebisho mengi sana katika sera zako na hasa eneo kubwa la KATIBA. ajira inatangazwa lakini watu wameshapangwa tayari
Jamani nina wasiwasi na hilo Tangazo liloletwa hap JF kuhusu kibarua cha sensa hasa ukizingatia kama limetegenezwa tu na mtu akalituma kwa njia ya PDF. hivi uliona wapi Tangazo la Selikari halina Nembo ya Taifa i mean Ngao ya bibi na Bwana??? Tangazo tena muhimu la sensa halijaanisha limetuma na...
Nasikitika sana tena huyu jamaa anayejiita POLISI na comment yake ya Many saw the apple falling, but Newton was the only person to ask why ni mpuuzi tena kwa msisistizo mpuuzi sana. watu kama hawa ndio wanobebwa na vimemo na kupuuza mapendekezo yanayoletwa na wadau kuhusu uozo wa secretariat ya...
jamani wadungu tujuzane waliofanya written interview ya nafasi ya afisa uchunguzi ii kule mwembe yanga vipi wameshaita interview ya pili i mean oral interview????? Nawasilisha
Jamani hilo suala ni la kweli kabisa hata mimi nathibitisha na wala sio uzushi. Mimi binafsi kuna jamaa angu mkewe kapata wiki moja iliyopita kimyakimya....nilipata taarifa kwa mume wewe na nikapigwa na butwaa. nilimuuliza wametangaza lini akanijibu hawatangazi ila kama unamjua mtu strong NIDA...
Jamani msije mkazani ni utani vitu vinavyoandikwa hapa kwenye jamvi la wana JF.....Mimi mwenyewe binafsi nilipigwa na butwaa wiki moja iliyopita kuna jamaa yangu tulikuwa tunachapa nae mzigo akanipigia simu kuwa mkewe amepata NIDA kwenda kufanya registration za vitambulisho! nikamuuliza...
KWA KWELI MIMI NIMEJISIKIA VIBAYA SANA KUWAPONDA WALIMU HIVI NYINYI BILA WALIMU LEO HII MNGEKUWA TOWN MNACHATT FACEBOOK,JF NA TWEETER???? HEBU FIKIRIENI KAMA WALIMU WATAENDELEA KUWA KATIKA MAZINGIRA DUNI JE HAO WADOGO ZETU WATAKUWA NA MUSTAKABARI GANI? ITS TIME FOR THEM TO SELECT PLACE OF WORK...
Kiufupi inatakiwa uombe separate yani unatuma bahasha tatu kila moja itawakilisha nafasi ulioomba; then wao sasa ndio jukumu lao kuchuja na kuona which position among ulizoomba wakushort list kwenye interview...nadhani umenipa mwana JF
TOKO LYAKO agwe muwaha............... unaleta mambo ya kulinganisha mwenye elimu na asiye na elimu eti tu kwa sababu ajira hakuna kitaeleweka tu huko mbele ndio utakapojua kumbe elimu noma. Kwani ngo`mbe wasio na elimu ndio wanatuangusha siku zote wanawapa mafisadi ulaji kwa kuwapigia kura eti...
Poor HR management, mimi binafsi siwezi hata kwenda kupoteza karamu yangu na wino kwa ajili ya upuuzi. Nchi hii inanuka rushwa kila corner, uliona wapi watu wanaapply kazi then unaita wote kwenye interview??? siku hizi kazi ikitoka wakubwa ambao ndugu zao wako bechi hawana kazi wanatuma vimemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.