Unamwambia nani humu? Kwa mwandiko huo utafeli interview ya kuandika !!WEKENI MAJINA, MIMI NTAJUAJE KAMA BARUA YANGU ILIFIKA ?? KAMA AIJAFIKA NIKIJA MTANIRUHUSU KUFANYA IYO INTERVIEW,
NIMEFUNGUA WEBSITE YENU PIA AKUNA MAJINA, binafsi naona tangazo lenu alijajitosheleza sijui wadau wengine wanasemaje
please tunaomba wekeni majina kwa wote wanaotakiwa kuja
WEKENI MAJINA, MIMI NTAJUAJE KAMA BARUA YANGU ILIFIKA ?? KAMA AIJAFIKA NIKIJA MTANIRUHUSU KUFANYA IYO INTERVIEW,
NIMEFUNGUA WEBSITE YENU PIA AKUNA MAJINA, binafsi naona tangazo lenu alijajitosheleza sijui wadau wengine wanasemaje
please tunaomba wekeni majina kwa wote wanaotakiwa kuja
duh wooooote tuna vigezo kumbe?ndo maana yake