Habari wadau,ninatoa kozi za computer applications kama Word,excel etc,pamoja computer hardware,mtindo wa ufundishaji ni private,hivyo nakufuata mahali ulipo,kwa atayehitaji nitafute kwa namba hii 0714430096.
Mkuu,kwa mujibu wa robert kiyosaki,kuna aina tatu za uwekezaji,moja ni katika biashara yako mwenyewe,yoyote ile,mbili ni katika real estate,yaani nyumba,viwanja nk,tatu ni katika hizo mutual funds,ambazo mleta mada ndo anataka kujua zaidi.
Investment yoyote inaweza kukutoa kwny umaskini,lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.