Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,446
- 2,486
Good books indeed!
But nasikia jamaa kafirisika, je ni kweli?
Ni uzushi tu. Jamaa bado yupo na anafanya vizuri ktk business yake ingia www.richdad.com utamuona....
Good books indeed!
But nasikia jamaa kafirisika, je ni kweli?
Huko bei mbaya. Nenda Kariakoo au posta utapata kwa 20,000/=
Ndugu mim natafuta cha retire young wewe ulikinunua wapi kwa bei hiyo nikitafute..daaah kwa kweli sasa hivi nimekua mvivu hata wa kusoma aisee hivi vitabu ukisoma vinabadilisha akili yako kabisa!!Mkuu, mbona sio ghali kama unavyofikiri. Mfano, Richdad Poor Dad ni 20, Guide to investment 22, Cashflow quadrant 22, Retire young nimechukua kwa 15. sijaona kitabu chake kinachozd laki 1. Ana programs zake za coaching online kupitia Richdad.com, per month unalipia USD 49. Ni kiasi kidogo ambacho huwez linganisha na kile unachokipata, na sio lazima ununue vyote kwa pamoja. Zaidi naomba ufahamu hivi, Never let your mind you cannot have it, Think how are going to afford it...
Ndugu mim natafuta cha retire young wewe ulikinunua wapi kwa bei hiyo nikitafute..daaah kwa kweli sasa hivi nimekua mvivu hata wa kusoma aisee hivi vitabu ukisoma vinabadilisha akili yako kabisa!!
Hivi vitabu hata Ukisoma 1000 ni kazi bure, Bila kutake action haisaidii chochote na sana sana watu wana visoma kjiburudisha, Kuchukua hatua haitaji usome kitabu, Kama hubna Spirt ya Entreprenership ni kazi bure, Kuna jamaa angu alisha soma karibia vitabu vyote hivyo ila mwambie kuhusu kujiajiri,
Kwa kifupi alio chukua hatua hakuna hata mmoja aliye soma hivyo vitabu, make vimekaa ki theory zaidi na waandishi wamebase kufanya biashara
Hivi vitabu hata Ukisoma 1000 ni kazi bure, Bila kutake action haisaidii chochote na sana sana watu wana visoma kjiburudisha, Kuchukua hatua haitaji usome kitabu, Kama hubna Spirt ya Entreprenership ni kazi bure, Kuna jamaa angu alisha soma karibia vitabu vyote hivyo ila mwambie kuhusu kujiajiri,
Kwa kifupi alio chukua hatua hakuna hata mmoja aliye soma hivyo vitabu, make vimekaa ki theory zaidi na waandishi wamebase kufanya biashara