Wenzetu wako kazini,huwezi kulinganisha ulimwengu wa 1...na ulimwengu 3...sisi tuko gizani,hakuna tuanacho kijua zaidi ya kuiga kila kitu kutoka ulimwengu wa 1.
Hoja yako haina mashiko,wala ushawishi wowote..swala la kuongea matusi bungeni haina maana kwamba ndio lisitishwe kuonyesha...ni swala la upofu walilo nalo wakoloni weusi ambao wanan'gan'gania kuonekana bola kumbe hkn wanachokijua zaidi ya unyanyasaji na upolaji wa haki za wanyonge...hili...
Mbna wasanii wengi wa unyamwezini wanakamua kama alivyo imba jide,kama mna kumbukumbu nzuri,kuna mwimbo alimba jlo-love dont cost a thing...alimwimbia puffy dad...so kwa jay dee ndio inaonekana haifai
Kaka kwa tarifa yako,mwanamke agopi ukimwi anagopa mimba...mara nyingi utasikia anasema naogopa kupata mimba...lkn ukimwi uwezi kusikia akisema hicho kitu
Ivi huyu mtawala yy ni nn??maana omba omba wapo tangia enzi hizoo,mi nadhani atafute shughuli zingine za kufanya,ili swala la ombax2...litamfanya aonekane ana ufinyu wa kufikili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.