Msongo wa mawazo ya kukosa kazi bwana, kila unachoambiwa unaona unaonewa.ilitosha tu siku ya kwanza kumuambia mzee mimi siamini katika imani hiyo.kama ulivyotuambia hapa
Mwambie lecturer wako awashauri kuhusu fursa za ujasiliamali pia zitokanazo na fani mnayosomea.mkijiaminisha kwenye mishahara hiyo halafu ukaja uraiani ukakosa kazi kitakachofuata.............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.