Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

utapeli umezidi siku hizi, mimi kuna kijana kamtapel mdogo wangu milioni moja, mbaya zaidi binti mwenyewe alikuwa anamega hela ya biashara yangu kidgo kidogo. Na hasira nae...japo kakimbia mji nitampata tu.
Pole sana mkuu, kweli dunia imebadilika sana
 
Ni vema huyo Dr ndere akaja hapa ili kutolea ufafanuz juu ya hili mana upande mmoja tumeusikia bado yeye ili Tuwe na iman na matangazo yake ya biashara na Kama hatakuja kufafanua juu ya hili basi ye ni tapeli kweli
 
Kwani ni wapi nimekwambia naandika ili niaminiwe na wewe? mjinga sana wewe, watu makini hatuwezi kuruhusu watu mchafuwe networking pasipo na ushahidi wa kujitosheleza, usidhani kwa sababu natumia Id fake basi mimi ni ghost, najuwana na watu wengi tu humu na tunafanya mengi, ndio maana wapuuzi kama wewe tunawaelekeza, huna evidence ya kumuita mtu tapeli wakati hiyo text conversation wazi inaonesha wewe ndio tapeli uliyetaka kujipatia vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.
bila shaka na wewe ni mwizi mwenzio mwambie amrudishie hela yake sio kuandika maelezo meengi ya kitapeli
 
Mbona mtu kama huyu rahisi sana kumpata, aisee mie siangalii udogo wa hela namtafuta nampata japo nimuache na kilema cha mguu au jicho moja! Yaani atapeli wengine sio sie 'vyuma vilivyokaza'
 
Back
Top Bottom